Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 44,718
- 36,669
ni muhimu sana kua wastahilivu na wenye subra kwenye mambo ya fedheha kama haya ya heche kutumia fedha za chama kujikomboa kiuchumi yeye binafsi na familia yake,Mkuu huwezi kuamka tu na kuanza kusema "Mkuu wa Mkoa wa Mbeya achunguzwe".... lazima uwe na angalau kitu cha kuanzia. Heche kaiba pesa zipi? kwa namna gani? Ni kiasi gani? Zilikuwa wapi? At least watupe kitu cha kuanzia.
Lakini pia huna haja ya kunilisha maneno au kunisemea mimi kuhusu jambo lolote lile la kisiasa, kijamii au kiuchumi. Express your free opinions as you can, and I will do the same as I wish.
Baraza kuu la chadema taifa limeitishwa,
nadhani mbivu na mbichi zitabainishwa humo gentleman, okay?🐒