Bonobo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 364
- 665
Habari wakuu,?
Samahani wakuu..Hivi kwa hapa Tanzania, nawezaje kujua majina ya consulting firms ambazo zimepewa kazi ya ku design structure mbalimbali, kabla hata consultant hajamaliza kazi yake ya ku design? Yan ile amepewa kazi ya kudesign... uweze kujua jina la project na consulting firm husika....
Kwa yeyote mwenye kujua hili, naomba anisaidie.
Samahani wakuu..Hivi kwa hapa Tanzania, nawezaje kujua majina ya consulting firms ambazo zimepewa kazi ya ku design structure mbalimbali, kabla hata consultant hajamaliza kazi yake ya ku design? Yan ile amepewa kazi ya kudesign... uweze kujua jina la project na consulting firm husika....
Kwa yeyote mwenye kujua hili, naomba anisaidie.