Chupi

Chupi

Haina kazi yoyote zaidi ya karaha tu kwakuwa hata usipovaa hakuna atakayejua kuwa hukuvaa na ukivaa na ikaonekana hata Kidogo tu utaambiwa umekaa uchi
 
haina kazi ya maana zaidi ya kukuchubua mapaja na kukubana korodani harafu ukivaa muda mrefu mboo inapinda au inaweza ikawa fupi
 
Mi naomba kuuliza swali jamani,kazi ya chupi haswa ni nin?

ni kumsitiri aliye vaa endapo nguo aliyo vaa inaweza kuchanika ghafla afu kwa akina dada ni miongoni mwa silaha zao kwa mfano akiwa kwenye cycle yake au pindi ikitokea mtu akataka kumbaka huchuka muda kidogo mpaka afanikishe hivyo ina saidia sana, kama wewe huoni matumizi yzke basi we una akili kama bata
 
...chupi nazo siku hizi zinafanya kazi!?...kumbe ndo maana hajira zimekuwa ngumu...
 
huwezi kijuwa kitu hadi ukijaribu nenda kafanye majaribio utapata jibu
 
Back
Top Bottom