Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
- Thread starter
- #341
Baada ya songombingo lile ndio uhusiano ulianza,alinionea huruma sana kwa ustaarabu niliouonesha.Hapa,pana ukweli, uliokuwa unafichwa, inaonyesha, hii ni nyumba ndogo ya siku nyingi, ndio ilizaa kile, kilichobatizwa jina jingine -et 'USTAARABU' Ona sasa, mambo hadharani. Nilishauri tu, hii isingeingia humu, linaweza kuwa la aibu, kama mtu atasoma Kati ya neno na neno. NISAMEHE SANA MKUU, MIMI NIMESHATOKA HAPO.
Nalog off