Chupi imeleta kizaazaa

Chupi imeleta kizaazaa

Nawewe ulianzaje kushika chupi ya watu? Ulijuaje kua ni ya huyo mdada?
Ata mimi nisingekuelewa....
Nimeidondosha kwa bahati mbaya,uhakika kama ni ya kwake kwa kuwa tunaishi sisi tu ktk nyumba hii
Nalog off
 
Mkuu, katika simulizi yako kunakitu kimekuharibia.
Bafu la nyumba ya kupanga ni bafu la umma.
Ilikuwaje mkeo kakufuma unasuuza chupi ya mpangaji mwenziyo, wakati ulipoanza kuoga ulistahili kulock mlango?
Hilo la kwanza, la pili ni mkeo kuitambua hiyo chupi kuwa ya nani, wakati vyupi ni nguo za sirini?
Ni hapo mheshimiwa ulipobugi kubabanganya.
 
Mkuu, katika simulizi yako kunakitu kimekuharibia.
Bafu la nyumba ya kupanga ni bafu la umma.
Ilikuwaje mkeo kakufuma unasuuza chupi ya mpangaji mwenziyo, wakati ulipoanza kuoga ulistahili kulock mlango?
Hilo la kwanza, la pili ni mkeo kuitambua hiyo chupi kuwa ya nani, wakati vyupi ni nguo za sirini?
Ni hapo mheshimiwa ulipobugi kubabanganya.
Nyumba hiyo tunaishi Mimi,mke wangu na huyo mpunga mwengine,kwahiyo chupi ambayo sio yake ni ya huyo mpangaji mwengine,mapenzi yetu ni motomoto siku nyengine huwa anakuja kunisugua mgongoni
Nalog off
 
Nyumba hiyo tunaishi Mimi,mke wangu na huyo mpunga mwengine,kwahiyo chupi ambayo sio yake ni ya huyo mpangaji mwengine,mapenzi yetu ni motomoto siku nyengine huwa anakuja kunisugua mgongoni
Nalog off
Kwanini haukulock mlango wakati ukielewa kuwa hamuishi peke yenu?
 
Kwanini haukulock mlango wakati ukielewa kuwa hamuishi peke yenu?
Mlango haulockeki,halafu mke wangu alikuwa na uhakika kama Mimi ndiye nikogaye kwa kuwa yeye ndiye aliyeweka maji bafuni,kwahiyo hawezi bisha hodi aliingia Moja kwa Moja
Nalog off
 
Ingekua ya mwanaume ungeisuuza? Kuna walakini ndio maana mke hakuelewi. Tena umeshaimaki na ukaitambua kwa haraka. Huenda ulishaishika tena sio mara ya kwanza
Nimeikuta kuwa ni ya mpangaji mwenzetu kwa kuwa tunaishi Mimi,mke wangu na huyo mpangaji mwenzetu
Nalog off
 
Kinachomtesa mke wako ni kwamba hajiamini maana mpaka hapo uko accused na kosa ambalo hujalifanya. Unaonaje ukaongea na huyo mpangaji mwenye chupi yake mkapiga show moja ili uwe accused kwa halali? ni wazo tu
Teyari kashakuwa nyumba ndogo
Nalog off
 
Back
Top Bottom