Chupi imeleta kizaazaa

Chupi imeleta kizaazaa

Mkuu,kama ni mimi,naichukua hiyo chupi naipiga pasi kabisa halafu naiweka kabatini kwetu,na huyo mke aende zake,akitaka kurudi arudi tu na hiyo chupi ataikuta ndani.
Sasa hivi kamfanya mpaka yule mpangaji kawa Mke mwenza wake.
Nalog off
 
Uwanaume sio Ku Log off, hata mie nisingekuelewa kushika chupi ya mwanamke mwingine, ulichokosea ni kuingia kuoga huku ukiiangalia chupi ya jirani yako ni bora ulipoingia na kuiona ungemwambia mkeo lakini unajitia baba huruma unajua kulea wakati hata chupi ya mwanao uikute na mikojo unashindwa hata kuisogeza nini kuisuuza
Mimi Ni romantic sana muulize Mke wangu.
Nalog off
 
Bafu lenu halina mlango? Choo na bafu ni humohumo? Ulimuonyesha mkeo kuwa unafua? Ulikuwa unaifanyia nini hiyo chupi hata uamue kuifua? Unashikaje chupi ya mwanamke na kuifua? Unamtaka mwanamke akusaidie kuzungumza na mkeo ili amhakikishie mkeo kuwa hakuna mahusiano baina yenu? Kwanini mkeo amhisi huyo single lady? Kwanini uanzishe mazoea na huyo demu? Leta ya muhimu acha hadithi.
 
Mimi Ni romantic sana muulize Mke wangu.
Nalog off
Hatuwez kumuuliza sifa zako mtu aliyerudi kwao kwa kuhisi unamchepukia, alafu uungwana ni vitendo hivi iyo chupi ingekua ya binti yako iko bafuni ungechukua hatua gani za haraka kwa mfano?
 
Ameshakuwa nyumba ndogo sasa na wanaelewana kimtindo.
Nalog off
Hapa,pana ukweli, uliokuwa unafichwa, inaonyesha, hii ni nyumba ndogo ya siku nyingi, ndio ilizaa kile, kilichobatizwa jina jingine -et 'USTAARABU' Ona sasa, mambo hadharani. Nilishauri tu, hii isingeingia humu, linaweza kuwa la aibu, kama mtu atasoma Kati ya neno na neno. NISAMEHE SANA MKUU, MIMI NIMESHATOKA HAPO.
 
Habari zenu wana JF,

Ni hivi mimi naishi nyumba ya kupanga na my wife wangu na kuna wapangaji wengine katika nyumba hiyo,sasa kuna binti single kahamia katika chumba kimoja katika hii nyumba,basi baada ya kuzoeana naye mke wangu anasema hamuamini ingawa nimemuhakikishia kuwa sijafanya naye mapenzi wala sifikirii,basi mke wangu akaanza kumletea vituko huyu binti mpaka wakagombana na hapa niandikapo ni kuwa hawaelewani.

Sasa tatizo leo hii yule binti kaingia maliwatoni na kuacha chu pi yake akining'inia nyuma ya mlango.

Basi mke wangu naye akaenda kuniwekea maji maliwatoni ili nikakoge,basi nilipoingia nikaiona ile chupi nyuma ya mlango na mie kuanza kujimwagia maji baridi.

Lakini nikiwa naendelea kukoga ile chupi ikaanguka kwenye yale maji ambayo ni machafu,basi nikaona ngoja niisuuze ili niirudishe tena nyuma ya mlango na nimtaarifu mwenye chu pi kwa kilichotokea,basi nikiwa naisuuza ile chu pi mke wangu akaingia maliwatoni na kunikuta nikiisuuza ile chupi ya mpangaji mwenzetu,basi likaanza bonge la zogo na kuniambia kuwa kumbe yule mpangaji mwenzangu nina uhusiano naye yaani mpaka chu pi namfulia!basi yeye kaamua kurudi kwao.

Yule mpangaji mwenzetu ikabidi nimuambie jinsi ilivyokuwa ili amuaminishe mke wangu kuwa hakunipa nimfulie ile chu pi yake,lakini yule binti mpangaji mwenzetu kagoma kuongea na mke wangu kwa madai kuwa mke wangu anaringa sana.

Jamani nimechanganyikiwa sijazoea kulala peke yangu.

Nalog off
Kweli ukishangaa ya Musa utastabu ya filauni
 
Habari zenu wana JF,

Ni hivi mimi naishi nyumba ya kupanga na my wife wangu na kuna wapangaji wengine katika nyumba hiyo,sasa kuna binti single kahamia katika chumba kimoja katika hii nyumba,basi baada ya kuzoeana naye mke wangu anasema hamuamini ingawa nimemuhakikishia kuwa sijafanya naye mapenzi wala sifikirii,basi mke wangu akaanza kumletea vituko huyu binti mpaka wakagombana na hapa niandikapo ni kuwa hawaelewani.

Sasa tatizo leo hii yule binti kaingia maliwatoni na kuacha chu pi yake akining'inia nyuma ya mlango.

Basi mke wangu naye akaenda kuniwekea maji maliwatoni ili nikakoge,basi nilipoingia nikaiona ile chupi nyuma ya mlango na mie kuanza kujimwagia maji baridi.

Lakini nikiwa naendelea kukoga ile chupi ikaanguka kwenye yale maji ambayo ni machafu,basi nikaona ngoja niisuuze ili niirudishe tena nyuma ya mlango na nimtaarifu mwenye chu pi kwa kilichotokea,basi nikiwa naisuuza ile chu pi mke wangu akaingia maliwatoni na kunikuta nikiisuuza ile chupi ya mpangaji mwenzetu,basi likaanza bonge la zogo na kuniambia kuwa kumbe yule mpangaji mwenzangu nina uhusiano naye yaani mpaka chu pi namfulia!basi yeye kaamua kurudi kwao.

Yule mpangaji mwenzetu ikabidi nimuambie jinsi ilivyokuwa ili amuaminishe mke wangu kuwa hakunipa nimfulie ile chu pi yake,lakini yule binti mpangaji mwenzetu kagoma kuongea na mke wangu kwa madai kuwa mke wangu anaringa sana.

Jamani nimechanganyikiwa sijazoea kulala peke yangu.

Nalog off
Uswahilini kuna vituko!!!!!!! Sasa nyumba ya kupanga na kushirikiana bafu unawezaje kuanika chupi bafuni? Mkeo hajiamini na wewe pia una shida kubwa, unawezaje kushika na kuifua chupi ya mwanamke asie mke wako? si heri ungeiacha pale chini ila kwa uungwana ungeenda kumwambia mwenyewe kilichotokea na kuomba radhi, kama ange kasirika ni bora ungempa pesa ya kununua nyingine. Siku nyingine unaweza kupata magonjwa ya zinaa bila kuchepuka kwa sababu ya uzembe kama huo wa kushika kitu inayogusa majimaji ya ukeni kwa mwanamke asie mkeo sijui mtatuhumiana nani kachepuka kaleta ugonjwa????
 
Habari zenu wana JF,

Ni hivi mimi naishi nyumba ya kupanga na my wife wangu na kuna wapangaji wengine katika nyumba hiyo,sasa kuna binti single kahamia katika chumba kimoja katika hii nyumba,basi baada ya kuzoeana naye mke wangu anasema hamuamini ingawa nimemuhakikishia kuwa sijafanya naye mapenzi wala sifikirii,basi mke wangu akaanza kumletea vituko huyu binti mpaka wakagombana na hapa niandikapo ni kuwa hawaelewani.

Sasa tatizo leo hii yule binti kaingia maliwatoni na kuacha chu pi yake akining'inia nyuma ya mlango.

Basi mke wangu naye akaenda kuniwekea maji maliwatoni ili nikakoge,basi nilipoingia nikaiona ile chupi nyuma ya mlango na mie kuanza kujimwagia maji baridi.

Lakini nikiwa naendelea kukoga ile chupi ikaanguka kwenye yale maji ambayo ni machafu,basi nikaona ngoja niisuuze ili niirudishe tena nyuma ya mlango na nimtaarifu mwenye chu pi kwa kilichotokea,basi nikiwa naisuuza ile chu pi mke wangu akaingia maliwatoni na kunikuta nikiisuuza ile chupi ya mpangaji mwenzetu,basi likaanza bonge la zogo na kuniambia kuwa kumbe yule mpangaji mwenzangu nina uhusiano naye yaani mpaka chu pi namfulia!basi yeye kaamua kurudi kwao.

Yule mpangaji mwenzetu ikabidi nimuambie jinsi ilivyokuwa ili amuaminishe mke wangu kuwa hakunipa nimfulie ile chu pi yake,lakini yule binti mpangaji mwenzetu kagoma kuongea na mke wangu kwa madai kuwa mke wangu anaringa sana.

Jamani nimechanganyikiwa sijazoea kulala peke yangu.

Nalog off
Au mkuu uliifua chupi ya jirani wa kike makusudi ulishapigia punyeto? Inaonekana mkuu una mbabaikia sana sana jirani hadi mkeo anajisikia vibaya. How did you know the underwear (bikini, thong, e.t.c) was your neighbours? Stop stalking your neighbour.
 
Love Story ....hahahaha....kama kaondoka mkeo mchukue mwenye chu p, uishi nae, asiporudi mkeo ujue hakupendi..endelea na msahau chu p, bafuni..
Mke wangu karudi na mpangaji aliyesahau chupii akawa nyumba ndogo.
Nalog off
 
Bafu lenu halina mlango? Choo na bafu ni humohumo? Ulimuonyesha mkeo kuwa unafua? Ulikuwa unaifanyia nini hiyo chupi hata uamue kuifua? Unashikaje chupi ya mwanamke na kuifua? Unamtaka mwanamke akusaidie kuzungumza na mkeo ili amhakikishie mkeo kuwa hakuna mahusiano baina yenu? Kwanini mkeo amhisi huyo single lady? Kwanini uanzishe mazoea na huyo demu? Leta ya muhimu acha hadithi.
Ndio choo na bafu humohumo,pia sikuifua ila niliisuuza baada ya kuidondosha. Mie yamenikuta Sasa kama unaona Ni hadithi Ni mawazo yako na una haki ya kufanya hivyo.
La muhimu serikali inaamia Dodoma.
Nalog off
 
Uswahilini kuna vituko!!!!!!! Sasa nyumba ya kupanga na kushirikiana bafu unawezaje kuanika chupi bafuni? Mkeo hajiamini na wewe pia una shida kubwa, unawezaje kushika na kuifua chupi ya mwanamke asie mke wako? si heri ungeiacha pale chini ila kwa uungwana ungeenda kumwambia mwenyewe kilichotokea na kuomba radhi, kama ange kasirika ni bora ungempa pesa ya kununua nyingine. Siku nyingine unaweza kupata magonjwa ya zinaa bila kuchepuka kwa sababu ya uzembe kama huo wa kushika kitu inayogusa majimaji ya ukeni kwa mwanamke asie mkeo sijui mtatuhumiana nani kachepuka kaleta ugonjwa????
Ahsante sana ikitokea Mara nyengine nitafuata huu ushauri wako.
Nalog off
 
Back
Top Bottom