figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
usiumize kichwa sana. kwa kua unayo na umechukua uwamzi mzuri kuihifadhi. ukifika wambie nmeanua nguo ya mtu so mwenye nao akaichukue nmeirudisha. ukinyamaza unaweza fanya mwenye nayo asiivae tena. miafigganigga ni kwamba kistaarabu kuanza kuikagua chupi ya (huenda ya mke wa jamaa yangu nilipofikia, ujasiri huo sina!Labda unipe akiba ya maneno ikiwa mma ndiyo vipi! Na ikiwa dabwada ndy vipi !
Last edited by a moderator: