Chuo kizuri cha udereva

Chuo kizuri cha udereva

kantananati

Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
14
Reaction score
30
Baada ya kujichanga kwa muda mrefu sana mwezi wa 6 nategemea kuvunja kibubu kuchukua kagari ka kupiga nako misele town.

Kwa hiyo wakuu naomba anayejua chuo kizuri cha udereva chenye ada nafuu na ratiba isiyobana anipe muongozo.

Napendelea Chuo kiwe katika wilaya ya Ubungo. Muda wa mafunzo uwe weekend.

Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kujichanga kwa muda mrefu sana mwezi wa 6 nategemea kuvunja kibubu kuchukua kagari ka kupiga nako misele town.

Kwa hiyo wakuu naomba anayejua chuo kizuri cha udereva chenye ada nafuu na ratiba isiyobana anipe Muongozo.

Napendelea kiwe wilaya ya Ubungo.
Muda wa mafunzo uwe wikend.

Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hilo swali subiri watu wa maeneo ya ubungo, ingekuwa mikoani, tungekujibu
 
Back
Top Bottom