MpendaTz,
..ukiuangalia uamuzi huu kama Mtanzania ofcourse utaenda kujenga Kigoma,Sumbawanga,Rufiji, Nachingwea etc.
..zaidi utakapofanya uamuzi wa kujenga taasisi hiyo ktk maeneo hayo hapo juu utalazimika kujenga na shule za msingi na sekondari zenye hadhi, pamoja na hospitali yenye hadhi. zaidi itabidi uongeze na ujenge na soko kwa ajili ya mahitaji mbalimbali. pia unaweza kulazimika kujenga kiwanja kidogo cha ndege.
..off course hiyo inaweza kuuinua mkoa wa Kigoma. naelewa kuna miji ktk nchi mbalimbali za magharibi imeibuka na kustawi kutokana na kuwa karibu na vyuo vikuu.
..kwa mtizamo wangu ,tatizo ni kwamba uamuzi wa eneo la kujengwa chuo hicho unafanywa na watu wa nje washirika wa Mzee Mandela. sasa je wafadhili hao wako tayari kufanya yote hayo niliyoyabainisha hapo juu? au serikali ina nia ya at least kutoa mchango kufanikisha hilo?
..pia ukumbuke kwamba baada ya ujenzi inabidi uajiri Wakufunzi wa chuo hicho. sasa hapo si kwamba utakuwa unauza jina la chuo tu, mshahara, na research opportunities, bali the whole package kwa mfano wapi watoto wa wakufunzi watakwenda shule, hospitali etc etc.
..kuna maeneo Tanzania yana sifa ya kuwa na nyoka wakali wenye sumu tena hayana hata zahanati za uhakika. sasa unategemea kweli a young and up coming researcher atapenda kuishi huko na familia yake?
NB:
..pia kuna faida gani ya kujenga hicho chuo sehemu kama Kigoma wakati hatuna hata mawazo ya kuimarisha shule za msingi na sekondari?
..ukiuangalia uamuzi huu kama Mtanzania ofcourse utaenda kujenga Kigoma,Sumbawanga,Rufiji, Nachingwea etc.
..zaidi utakapofanya uamuzi wa kujenga taasisi hiyo ktk maeneo hayo hapo juu utalazimika kujenga na shule za msingi na sekondari zenye hadhi, pamoja na hospitali yenye hadhi. zaidi itabidi uongeze na ujenge na soko kwa ajili ya mahitaji mbalimbali. pia unaweza kulazimika kujenga kiwanja kidogo cha ndege.
..off course hiyo inaweza kuuinua mkoa wa Kigoma. naelewa kuna miji ktk nchi mbalimbali za magharibi imeibuka na kustawi kutokana na kuwa karibu na vyuo vikuu.
..kwa mtizamo wangu ,tatizo ni kwamba uamuzi wa eneo la kujengwa chuo hicho unafanywa na watu wa nje washirika wa Mzee Mandela. sasa je wafadhili hao wako tayari kufanya yote hayo niliyoyabainisha hapo juu? au serikali ina nia ya at least kutoa mchango kufanikisha hilo?
..pia ukumbuke kwamba baada ya ujenzi inabidi uajiri Wakufunzi wa chuo hicho. sasa hapo si kwamba utakuwa unauza jina la chuo tu, mshahara, na research opportunities, bali the whole package kwa mfano wapi watoto wa wakufunzi watakwenda shule, hospitali etc etc.
..kuna maeneo Tanzania yana sifa ya kuwa na nyoka wakali wenye sumu tena hayana hata zahanati za uhakika. sasa unategemea kweli a young and up coming researcher atapenda kuishi huko na familia yake?
NB:
..pia kuna faida gani ya kujenga hicho chuo sehemu kama Kigoma wakati hatuna hata mawazo ya kuimarisha shule za msingi na sekondari?