GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Chuo kikuu cha Mbeya University of Science And Technology (MUST) ambacho Zamani ilikuwa Mbeya technical college (MTC), badaye Mbeya Institute of Science and Technology (MIST) na sasa kimepewa hadhi ya UNIVERSITY. Kimeunda kifaa maalum cha kukabiliana na ajali za majini. Kifaa hiki kinatoa taarifa za kiasi cha mzigo, hali ya mawimbi n.K kutoka ktk eneo la meli husika kwenda kwa manahodha na mamlaka za udhibiji (SUMATRA) N.K.
mmoja wa wagunduzi hao ameiomba serikali kukubali kifaa hicho ili kianze kazi mapema.
Source: STAR TV, habari ya saa 10.00 am.
mmoja wa wagunduzi hao ameiomba serikali kukubali kifaa hicho ili kianze kazi mapema.
Source: STAR TV, habari ya saa 10.00 am.