Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Wataka Lowassa agombee urais 2015

Balozi wa Amani Risasi Mwaulanga yuko wapi? Mateu na mwenzake asenga pamoja na makonda siwasikii kabisa kwenye vyombo vya habari na matamko au mgao umepungua?
 
Nyie watoto wa udom acheni upumbavu lowasa ni janga la kitaifa ni jambazi fisadi hafai kua rais. Msidanganyike. Amkeni
 
dont generalize bro. we hujui kama kuna wachumia tumbo wachache wanaharibu taswira ya chuo, hao wamelishwa maneno, unakuwa kama vile huwajui ccm that is a propaganda mtu mwenye akili sasa hivi anajipanga kufanya UE sio kwenda kula kuku za LOWASA
Nina mashaka na GPA watakazopata Wanafunzi hao.Wanaonekana wachumia tumbo waliopitiliza.

Si ajabu walitoa maneno hayo kwa matarajio ya kupiga mzinga. Yaani wahuni wajikusanye huko tu na njaa zao kali kali wajifanye wawakilishi wa wanafunzi wote? Ni nani aliwatuma? Hawana tofauti na wale walioenda kula mishikaki kule Monduli walipotoka huko wakawa waropokaji wakubwa

Vibaka wamekusanyanana na kupeana sapoti. Eti watasaidia kuchangisha hela?ha ha ha ha! ------
 
hiki chuo kinatumika kisiasa, nnaamini hao ni wapu.mbavu wachache kwa njaa zao wamenunuliwa kwenda kufanya huo uji.nga
 
Big up Lowassa,fanya maandalizi mapema ya kuingia ikulu kwa shindo kubwa.Kamata kila kona,kanisani,mashuleni,vyuoni,mitaani,mijini,polini,n.k. Wapuuze wanaobeza jitihada zako za maandalizi.Waliokuita Fisadi wameuza gas yetu,tembo,bandari,loliondo,n.k
 
Mleta mada ni muongo, wahitimu wa kwanza kutoka ktk shule za kata ndio wamemaliza kidato cha sita na bado hawajajiunga na chuo kikuu chochote kile,
 
Ninavyoifahau UE, KUNA MSHENZIS anaweza akaacha kupapalikia GPA aende kwa lowa sasa??
HUYO MTOA MADA ANASUMBULIWA NA NJAA ILIYOMPELEKA KUDOWEA MSOSI HUKO AREA FISADI.
 
Mbinu za kuwalisha wajinga wachache maneno ili wakuseme vizuri zimepitwa na wakati, Lowassa atafute namna nyingine ya kutafuta public attention. Harafu si @Nape aliwakataza kufanya kampeni? Isijekuwa Lowassa ndiye aliyesemwa kuwa "mgombea wa kuchonga aliyepungukiwa sifa fulani"
 
Lowassa hata wasipompitisha CCM kwenye kugombea urais atakaye shinda itabidi ampigie magoti na kuna uwezekano wa kuingia makubaliano fulani.
 
dont generalize bro. we hujui kama kuna wachumia tumbo wachache wanaharibu taswira ya chuo, hao wamelishwa maneno, unakuwa kama vile huwajui ccm that is a propaganda mtu mwenye akili sasa hivi anajipanga kufanya UE sio kwenda kula kuku za LOWASA

Sio wote ndiyo maana nikasema wamejikusanya vibaka wachache kwenda kupeana faraja na kupiga mizinga tu
 
Wanafunzi zaidi ya 600 wanaosoma Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) ambao walimaliza elimu yao ya Sekondari katika shule za Kata nchini, wamemuomba Mbunge wa Monduli,Edward Lowassa kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Wawakilishi wa wanafunzi hao wapatao 40,juzi jioni walimtembelea kiongozi huyo nyumbani kwake maeneo ya Area C mjini hapa na kula naye chakula cha usiku, huku wakimueleza kuwa wapo tayari kumpigia debe, kumchangia fedha za kuchukua fomu pamoja na kuwashawishi vijana wenzao kwamba Lowassa ndiye kiongozi anayefaa kwa sasa.Hafla hiyo pia illihudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanafunzi hao.

Chanzo: Mwananchi

Njia zipi zimetumika kukusanya maoni yao au walikuwa mamevalia magamba ya kijani
 
Back
Top Bottom