made
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 890
- 582
Mtu kama wewe ndo wenye mawazo kuwa nchi haiwezi kwenda bila CCM!!!!pole maana ni msiba kwako..........!si tatizo kuwa na mimba ikiwa tu viwango vyao vya elimu vitaendelea kuwa vizuri,ni watu wazima wenye uwezo wa kufikiri............,kupanga ni kuchagua!!!Tanzania mi najua chuo kikuu ni udsm peke yake...................kusoma vyuo kama Jordan ni kuweka future yako rehani