Ninapenda kujua chuo gani ni kizuri kinachotoa elimu nzuri ya Sheria 'coz mdogo angu anataka ajue mapema vyuo atakavyo-apply.
Kaniomba nimsaidie alafu mimi sijasoma kozi kama yake; kwhiyo inaniwia ngumu kutambua. Lakini wadau wa JF hamtashindwa kunisaidia naombeni vyuo vitano tu vinavyofanya fresh kwenye course ya LAW.
Kwel uandish wangu sio mzuri lakini kuna watu wanajua uandishi mzuri lakini ujumbe unakua haueleweki na kunawatu hatujui uandishi vizr bt ujumbe unaeleweka so kwenye matter ya kuelewana tu hakunaga sheria