Lady nancy
New Member
- Oct 30, 2019
- 1
- 0
Wadau naomba ushaurii nahitaji kuendelea na Diploma nina Certificate ya Ualimu nilihitimu 2016. Sijafanikiwa bado kupata ajira serikalini naomba kuelekezwa kozi gani nzuri na chuo kipi kinafaa tusome kwa manufaa ya baadae