mwenye maamuzi ya kukataa ni mwanamke,ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kusema NO mbele ya mwanamke (ndio maana siku zote sisi wanaume tunwafuata nyinyi wanawake na kuwatongoza) hiyo ni nature na ndivyo ilivyo leo hii yule ambaye ukimuhitaji lazime uonyeshe nia kwa zaidi ya miezi miwili mfululizo,unamkuta tayari yupo barabarani ni wewe tu na pochi yako...mtu anayetumia mwili wake kupambana na hali ngumu ya maisha badala ya ubongo ni hasara kubwa...sasa kama yeye mwenye elimu anafanya hivyo yule ambaye hajaenda shule kabisa afanye nini?...Na infact sio kwamba wana hali ngumu ni tamaa tu na kuendekeza starehe (kupenda vya bure mchezo),so ladies wakiamua kuanzia leo hatuuzi tena wala hatutoi bure,na hatumuonjeshi mtu mpaka tuolewe...aaah tutaskia labda kesi ya kubaka na bila shaka muhusika atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria
Hii thread imenifanya niwaze mambo mengi: 1) Nilifikiri elimu humfanya mtu kuondokana na mambo ya kipuuzi kumbe sivyo 2) Hivi wanavyuo wa vyuo vingine vya Afrika mashariki nao wana tabia kama hizi au wa Tanzania wana mambo yao ya kipekee?
Tuhabarishe zaidi ya Uganda mkuuKuna Wazazi walikuwa ( sijui bado mpaka sasa ) wanawapeleka watoto wao Uganda,
ukisikia habari zao utasikitika.
Hapo kwenye Red si useme tuu ni wewe ndo yalikukuta? Yanini kumsingizia huyo jamaa?Nilipofika Mtwara hivi karibuni nilifurahi sana kuona watu wengi sana wanafanya kazi huku..unajua hata mimi kabla niliwahi kupewa kazi kuja huku nikaipotezea?
Basi bwa nikafurahi tena kuona Kuna Vyuo vikuu vingi tu-SAUT,UTUMISHI,TIA,UALIMU,COTC,VETA ..Yaani nikafarijika kuwa wamakonde nao sasa wataelimika...japo nilikuja kugundua kuwa maofisi mengi wamakonde ama ni walinzi,wafagizi au wapishi..akijitahidi sana ni dereva!
Jioni moja niajumuika na wananchi hawa wa Mtwara 'wa Kuja' kuburudika pale Litingi..mmh mambo niliyoyaona we acha tu wazazi kwa kweli fumbeni macho mnapowapa wanenu hasa wa kike fadha kuwa wanakuja shule.......laiti ukija ukagongana naye njiani akitoka Litingi au Makonde Hall...unaweza kuahirisha kutoa fedha yako!
Siku ya Pili nikapumzika sehemu yaitwa Gimbu...mmh kumbe hapo ndo kuna Machangua Doa Kibao! Nikamuuliza Mshikaji wangu mmoja jirani akasema...'MWE WE ACHA TU HAWA WANAVYUO NDIYO KAZI YAO HASA WALE WA CHUO CHA UTUMISHI"
Ikanibidi kesho yake nitafiti zaidi Kujua Ukweli wa Mambo na Ukweli ni Huu
1. Wanafunzi wa Kike wa Chuo Cha Utumishi wa Umma huku Mtwara ndio wanaoongoza Kwa Ngono,Uchangudoa na Uchafu wa aina zote.....
2.Hawa ndiyo wanakuja kuutumikia Umma lakini ndio wauzaji wakuu wa Ngono Mkoani Mtwara
3. Wamejaaliwa maumbo mazuri na mvuto na ni Waremba lakini kwao kuuza ngozi ni kazi moja kwenda mbele
Nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa na Girlfriend wake wa Utumishi lakini akashindwa Gharama za Kumhudumia (30-50 alfu kwa siku) na siku moja akaamua kwenda Gimbu achukue CD wa kujipoza naye akaopoa kitu saaaafi.
Kufika ndani mwake si ni yule yule girlfriend wake wa Utumishi na leo dau lilikuwa alfu Kumi!!!
Mmmh yangu Macho
Mkuu anaepiga kelele ni mwanamme au mwanamke? kwa nini? sikaelewaKaka umenikuna saana maana hapa Mtwara kwa kweli sasa panatisha..Na Hawa jamaa wafanyakazi wa Mashirika ya Mishahara minene na Mabenki wanawafaidi kweli kweli..si ajabu kwa Mfanyakazi wa benki kuwa nao 10..tena na kumbi za starehe zinavyozidi kufunguliwa..we acha tu. Kuna dada mmoja wa Utumishi amefukuzwa CHUO kwa kuwa alikuwa akifanya mapenzi na jamaa akawa anapiga kelele usiki wa manane hadi majirani wakaenda Polisi.....Lets just pray for these LOST souls!
Du afadhali mi naishi huko Mtwara kwa kweli kulikuwa na ukame sana wa mademu watoto wakimakonde hawako sharp wala nini ngoja nikirudi kubeba box nikamate hao wakuja kama 4 hivi kwa mpigo.
Nimejifunza kitu mkuu usije ukajaribu kuoa msomi itakula kwakoHii thread imenifanya niwaze mambo mengi: 1) Nilifikiri elimu humfanya mtu kuondokana na mambo ya kipuuzi kumbe sivyo 2) Hivi wanavyuo wa vyuo vingine vya Afrika mashariki nao wana tabia kama hizi au wa Tanzania wana mambo yao ya kipekee?
Wanajiuzia maeneo gani pale mabibo?muda gani?Yaani hawa dada zetu wanatia kinyaa kabisa,sio mtwara pekee,nenda mabibo hostel uone sodoma na gomola live..watoto wanajiuza kweupeee aibu tupu,ndo maana mababu zetu walichelea kusomesha hii jinsia.
True mkuu,kama hatuwanunui obviously hawatakua na soko,sisi ndo tunawafanya wawepobiashara inakwenda kwa demand and supply. Naona mmebase sana kwa wakinadada as if wanajiuzia wenyewe.