cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,862
- 189,415
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo picha zimepigwa chuoni au kwenye gereji bubu unakuja kudai ni chuo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo picha zimepigwa chuoni au kwenye gereji bubu unakuja kudai ni chuo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahKesho anakwenda kufanya fujo wampe cheti chake.
Alishawahi kuwa na ni m/kiti mstaafu wa Baraza la Maaskofu.Ni askofu mstaafu wa Jimbo kuu katoliki la Iringa pia kasha wahi kuhudumu Jimbo kuu la katoliki la Sumbawanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya kwanza nafika pale nilidhani sijafika chuoni kumbe ndo nishafika.Nilighairi kusoma tena MASTERS pale
Ninaunga mkono kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti.Ila mazingira ya kusomea imgawa hayana huhusiano wa moja kwa moja na kuelewa kwa mwanafunzi lakini yanaathiri kwa namna moja uwezo wa kielimu na ufahamu wa wanafunzi. Sasa kama nje kiko hivi je labaratory na skills building areas ziko vipi? Hii ni hatari, halafu tusijekuchukua mifano ya graduants wachache maarufu tukageneralize. Kiujumla mazingira ni mabaya sana kwa level ya University,period.Asante sana mkuu kwa kuelewa dhima ya Uzi wangu,maana kusoma na kuelewa ni dhana mbili tofauti sana.
Bora majarubani kuliko jalalani , vyuo vyote vya Bongo ni takatakaMkiambiwa UDSM ni Harvard mna mind. Haya someeni majalubani😃
First year karibu sana ulijenge jiji la Mungi
Unasemaa?!?Mkiambiwa UDSM ni Harvard mna mind. Haya someeni majalubani😃
Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hii ni yunivwashti kweli heee kumbe mimi sijaona mambo mengi eeeh , sasa kuna mwamba mmoja huwa anajinasibu kuwa yeye ni msomi nguli kutoka huko kumbe ndio kulivyo mhhhh kinyaaaaaaaa.Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu.
Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.
Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
View attachment 3125892View attachment 3125896
View attachment 3125899
View attachment 3128897
View attachment 3128898
View attachment 3128899
Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
Mpiga picha ahojiwe harakaHizo picha zimepigwa chuoni au kwenye gereji bubu unakuja kudai ni chuo?
Vipi walimsolvia shida yake?Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Nimechungulia mazingira yao, wako vizuri sana.Naona MWECAU wamejitenga nao..Sasa hivi wanapandisha tu migorofa
Mazimbu ilikuwa bado vizuri wakati huo tunatoka sisi kuanzia unit 1 hadi unit6 madarasa safi,freedom Square kuzuuuri kabisa, kuna ile cafeteria ilikuwa kushuka kule chini Copenhagen bado ipo? Grave yard ilikuwa sehemu nzuri imetuliaUmewahi kufika SUA kule mazimbu?