Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Habari
Nakumbuka katikati ya 2010 - 2012 Kituo cha Marinatha kilichopo Morogoro kilifungua chuo cha mapenzi kwa ajili ya kufundisha kozi za mambo ya kupenzika.
Kwa wenyeji wa Morogoro najua wengi watakuwa wanakijua.
Nakumbuka mwanzoni waliwekewa ugumu na wizara ya utamaduni lakini walifanikiwa kuwaelewesha na baada ya marekebisho kidogo ya kupunguza 'makali', mtaala ulikubaliwa.
Sasa naomba mtujuze kwa wanaoelewa hiki chuo kiliishiaga wapi yaani kwa anayefahamu vipi bado kipo hadi leo au kilipigwa stop, tunaomba mtujuze
Nakumbuka katikati ya 2010 - 2012 Kituo cha Marinatha kilichopo Morogoro kilifungua chuo cha mapenzi kwa ajili ya kufundisha kozi za mambo ya kupenzika.
Kwa wenyeji wa Morogoro najua wengi watakuwa wanakijua.
Nakumbuka mwanzoni waliwekewa ugumu na wizara ya utamaduni lakini walifanikiwa kuwaelewesha na baada ya marekebisho kidogo ya kupunguza 'makali', mtaala ulikubaliwa.
Sasa naomba mtujuze kwa wanaoelewa hiki chuo kiliishiaga wapi yaani kwa anayefahamu vipi bado kipo hadi leo au kilipigwa stop, tunaomba mtujuze