- Thread starter
- #21
We juha mbona mara kadhaa tulishasema kuwa haya yako ni majungu tuu...Leo unajifanya ni mwanafunzi ilhali tunajua wewe ni staff mzembe unayetarajia favours pasipo kufanya kazi.Umempigia kelele mzee wa watu mpaka kastaafu na sasa hata huko aliko bado unazidi kubwabwaja...Spend yourbtime wisely hizi kelele za JF zinazidi kuexpose umbumbumbu wako.
Wewe ni msukule wake, endelea kunyonywa dawa na huyo Mchawi aliyeshindikana. Msukule hua haijitambui, endelee hivyo hivyo na utashuhudia tofauti na unafikiria na ubangusile wako. Huna hadhi kwanza ya kujibizana hapa kwa upeo wako mdogo. Huyo bwana wako atafuatiliwa hadi kaburi na hana muda mrefu kwa madhambi ya uchawi wake.