Chuo cha DIT hakitozi gharama za udahili kama ilivyo tolewa maelekezo na serikali

babumapunda

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
4,644
3,288
Wakuu serikali iliweka wazi kuwa gharama za juu za udahili kwa kila chuo ni 10,000 Tsh kwa degree program lakini hili limekuwa ni tofauti kwa taasisi kama ya DIT.

DIT wao wameamua kuweka gharama ya udahili kwa mwanafunzi wa degree ya kwanza Tsh 30000, mara tatu zaidi ya gharama iliyowekwa na serikali. Kuna haja serikali ikapitia hizi gharama katika kila chuo nadhani sio DIT peke yake wanaotoza gharama za juu tofauti na maelekezo ya serikali kupitia wizara ya Elimu.
 
DIT kimepona kweli wanatoaje degree baada ya diploma yani hivi vyote sivielewi NIT,CBE,TIA
 
Sasa mnafikili 10 itatosha kwa gharama za udahili?? Acheni kulalamika hakuna chuo pumbavu kitatoza 10. Kwa hali ya kawaida 10. Utaifanyia nini?? LIPA 30 Mambo yaendelee si mliwakaaa tcu na 50. Sasa pambaneni na hali zenu.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Elimu ni gharama.
Unaitaka degree utashindwa kutoa 30,000/-???
Serikali ilishawah kusema BEI YA SUKAR NI 1800/- JE UNANUNUA KIASI GANI MTAAN KWAKO?

May Allah bless Me and You

Hiyo gharama ukiomba vyuo vitatu inakuaje??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa mwaka huu ndo mtaisoma figure.
Unalipa dit 30. Holaaaaa.
Unalipa udsm 30. Holaaaa
Unalipa ardhi 30. Holaaaa
Unabahatisha must 30. Tena kwa mbinde na ukiwa na nyota ya punda hata hyo must holaaaa.

Vijana tcu walikuwa mkombozi, only 50 una uhakika kupata k1 kati ya vi5 ulivochagua.

Tuendelee kulalamika humu maana ndo pakutolea povu

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Elimu ni gharama.
Unaitaka degree utashindwa kutoa 30,000/-???
Serikali ilishawah kusema BEI YA SUKAR NI 1800/- JE UNANUNUA KIASI GANI MTAAN KWAKO?

May Allah bless Me and You


Huyu anayelipisha hii ajitayarishe vinginevyo awe na mradi wa pembeni kwani hali ni ngum kabisa, ingawa application for Nursery School baadhi ni zaidi ya 40,000/=
 
Sasa mwaka huu ndo mtaisoma figure.
Unalipa dit 30. Holaaaaa.
Unalipa udsm 30. Holaaaa
Unalipa ardhi 30. Holaaaa
Unabahatisha must 30. Tena kwa mbinde na ukiwa na nyota ya punda hata hyo must holaaaa.

Vijana tcu walikuwa mkombozi, only 50 una uhakika kupata k1 kati ya vi5 ulivochagua.

Tuendelee kulalamika humu maana ndo pakutolea povu

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.

japo tcu ilikuwa na ukiritimba lakini alieleta system hii mpya itasababisha vijana wengi wabaki majumbani
 
Huyu anayelipisha hii ajitayarishe vinginevyo awe na mradi wa pembeni kwani hali ni ngum kabisa, ingawa application for Nursery School baadhi ni zaidi ya 40,000/=
Nothing will happen to him/her.
ELIMU YA JUU NI COST KWA WANAOENDA KUSOMA GHARAMA HAZIKWEPEKI.
Chuo 10,000/?

May Allah bless Me and You
 
kifutiwe udahili nacho kibaki udom na udsm kwenye tahasusi ya mambo ya computer
Swali nililokuuliza na ulichojibu ni tofauti
Jaribu kuwa great thinker basi
Beng na Bsc unajua tofauti zake?ukijua tofauti ya Beng na Bsc utajua ni upi umuhimu wa DIT
 
Swali nililokuuliza na ulichojibu ni tofauti
Jaribu kuwa great thinker basi
Beng na Bsc unajua tofauti zake?ukijua tofauti ya Beng na Bsc utajua ni upi umuhimu wa DIT
navijua vyote upuuzi mtupu na bado COET udsm...
 
Back
Top Bottom