Chuo cha Dar es Salaam chasitisha udahili

Chuo cha Dar es Salaam chasitisha udahili

Huyu Mkurugenzi wa bodi nae hazimtoshi.unaposema kipaumbele cha serikali kwa sasa ni viwanda kwahiyo tusisomeshe watoto? Huko TCU walipokuwa wanachaguwa wanafunzi walitegemea ada na posho ya kujikimu itatoka wapi? Endeleeni tu kuwanyanyasa hao vijana.
huyo mkurugenzi wa bodi ya mikopo unamuona bure
 
mmmh kweli mwaka huu ni shida..!!
ila huruma saana kwa hili janga
ki ukweli hali mbaya ssaana,mkwere aljitahidi sana lakin watu walikua wanamuona hafanyi kitu, ngoja tuone tofauti kidogo
 
Hivi kwanini hawa wanafunzi wanateswa hivi?

Sasa huo utaratibu anaoelezea Mukandara si ni wa kila mwaka na kila semester? Kwani ni utaratibu mpya?

Mbona wanafunzi waliopita walikuwa wanapata mikopo kwa utaratibu huo huo bila tatizo lolote?

Mara mnasema wakipewa pesa wananunua TV, ni nani mwenye ushahidi na hilo?

Na hata kama wananunua kwani hawatalipa huo MKOPO?

Sio vizuri wanavyosumbuliwa hawa watoto, na ikumbukwe huo ni

MKOPO SIO MSAADA WA BURE.
 
Nina million 6.7 nasubiri ikamilike million 7 nitakoment vizuri. Wacha nilime kwa bidii
 
Kikwete, popote ulipo.

Kama unasoma hii post, naomba nikushukuru sana kwa sababu awamu yako hizi taabu hazikwepo. Pesa za field na pesa za matumizi tulikuwa tunazipata ontime, pia hatukusumbuliwa uhakiki wa mara kwa mara.

Nashukuru kuvuka salama degree ya kwanza kwa mkopo usio na mateso kama ya sasa.

Asante.
SIO WW 2 MKUU MM PIA NATAMN KIKWETE ANGEENDELEA TU MAANA AMENISAIDIA SANAA NA WENGINE PIA
 
Back
Top Bottom