Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,509
- 7,263
Kununua ndege na kuhamia dodoma.Sasa awamu hii kipaumbele chake ni nini ?
Hii ndiyo nchi ya viwanda ambayo ngosha alihaidi.
Aliyesema nchi inaendeshwa km gari bovu hawakukosea
Awamu hii hatari sana. Ukiongea sana unatishiwa bastola au unafukuzwa kazi