mtembea kwa miguu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 1,121
- 1,736
Akili za watz wengi zililala. Sas awamu hii zitaamka kutoka usingizini... Mim ninachofurahi zaidi wale walio imba sana sas wanatapatapa
Mkuu hongera zakoDuh bora hata nimesoma kipindi cha Mkwere!
Wanasemaga "usimuige tembo"Serikali kwenye elimu na mambo mengine mengi tu imeangukia pua na maamuzi mengi wanayoyafanya badala ya kutengeneza ndiyo wanazidi kuharibu.
Nimeikopi tu mkuu , chanzo ni nipashe , hata hivyo nakushukuru kwa kuinyoosha lugha rasmi ya Rais wa Tanzania .Sio udahili (admission), ni usajili (registration). Udahili ulishafanya na TCU
Umeongea point ya msingi sana Dada Evelyn hili suala wamelichukua kichwa kichwa wazazi wameacha kuchangia mzigo wote serikali imeubeba na hela hazitoshi matokeo yake ndio haya.Wanasemaga "usimuige tembo"
Kwa swala la elimu bure kwakweli lowasa aliwaingiza cha kike, wamelidaka juu kwa juu tu bila kulifanyia utafiti na tathmini.
Hii Bodi ya mikopo ivunjwe tu ijulikane moja
Wazazi hawajui tu hali ilivo tete, ni heri wangejishika mfukoni tu "bure ni gharama"Umeongea point ya msingi sana Dada Evelyn hili suala wamelichukua kichwa kichwa wazazi wameacha kuchangia mzigo wote serikali imeubeba na hela hazitoshi matokeo yake ndio haya.
Kipaumbele cha serikali ni viwanda na sio wanafunzi wasome. Hili janga kama PhD holder anashindwa kuwekeza kwenye elimu sijui mtu mwenye degree atafanya nn?!
Si tumeambiwa watoto wa vigogo wameshapata mikopo? Wengine ngoja tuhakikiwe vyeti kwanza.mzee wa bagamoyo alikuwa anajua nini maana ya elimu,sasa huyu wa "masikini na wanyonge"kasahau kwamba asilimia.kubwa ya wanaoomba mikopo ni "masikini na wanyonge"ambao alisema yeye serikali yake ni kwa ajili ya hao
Umeanza kulipa?Duh bora hata nimesoma kipindi cha Mkwere!
Tatizo siyo bodi ya mikopo
Tatizo ni bwana mkubwa kashikilia pesa yuko bize na fly over na Bombardia
Kipindi cha mkwere ilikuwa mkandamana tu anasema wapewe woteDuh bora hata nimesoma kipindi cha Mkwere!
sasa panya road c itapata rasilimali watu wengiSerikali sio ya mchezo mchezo, warudi nyumbani tu