iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,941
vnchi imefungua viwanda vya fitna na majungu,huna habari?We mkali
Viwanda viko sehemu gan vile
vile.viwanda kama vya wachina ni ghali sana kuvileta HUKU
vnchi imefungua viwanda vya fitna na majungu,huna habari?We mkali
Viwanda viko sehemu gan vile
Mapanga shaaSasa awamu hii kipaumbele chake ni nini ?
hii ni safari ya vipofu,tuliaminishwa ni serikali.ya viwanda,sasa mwaka.tangu iingie madarakani hata kiwanda cha pipi hakuna.Sasa awamu hii kipaumbele chake ni nini ?
Bodi inatumwa tu mkuu .Duuh mi nimechoka na upuuzi ww bodi ya mikopo
ViwandaSasa awamu hii kipaumbele chake ni nini ?
Serikali sio ya mchezo mchezo, warudi nyumbani tu
Viwanda vinajengwa kwa kasi ya ajabu njooni mfanye kazi vijijini viwanda havina wafanyakazi.We mkali
Viwanda viko sehemu gan vile
Wakijiunga na Taifa jipya watatumaliza aseeeee c umeyaona mapanga waliyoyabeba kikundi cha Taifa jiypa je wakiongezeka hao itakuwaje??wakajiunge na TAIFA JIPYA...
Kuwa kiongozi wa Nchi unapaswa uwe umesoma uchumi na sheria na sio KemiaKipaumbele cha serikali ni viwanda na sio wanafunzi wasome. Hili janga kama PhD holder anashindwa kuwekeza kwenye elimu sijui mtu mwenye degree atafanya nn?!
Sio udahili (admission), ni usajili (registration). Udahili ulishafanya na TCUUDSM yasitisha udahili
Wakijiunga na Taifa jipya watatumaliza aseeeee c umeyaona mapanga waliyoyabeba kikundi cha Taifa jiypa je wakiongezeka hao itakuwaje??
Hivi kwanini tunataka kuwakomoa hawa vijana ?