Chuo cha Dar es Salaam chasitisha udahili

Chuo cha Dar es Salaam chasitisha udahili

mzee wa bagamoyo alikuwa anajua nini maana ya elimu,sasa huyu wa "masikini na wanyonge"kasahau kwamba asilimia.kubwa ya wanaoomba mikopo ni "masikini na wanyonge"ambao alisema yeye serikali yake ni kwa ajili ya hao
Ndio ukaona watu wanatilia mashaka hizo phd zao, na profesa wa Ujerumani, kweli unawezaje kumkopesha mwanafunzi for theluji 1st year kisha kunakoendelea ukamwambia hupewi pesa, vile vigezo vilivyomfanya apate awali havipo tena, wanataka wawasomeshe watoto wao waje waitawale tz wengine wawe na sindikizaji, watakuja kunyolewa bila ya maji ikifikia huko.

Phd zao zinalingana na mwanangu anayesoma nasari kila siku anafurahia gari ya shule na uji wa maziwa hajui kuwa mashinda njaa ili yeye asome
 
Huyu Mkurugenzi wa bodi nae hazimtoshi.unaposema kipaumbele cha serikali kwa sasa ni viwanda kwahiyo tusisomeshe watoto? Huko TCU walipokuwa wanachaguwa wanafunzi walitegemea ada na posho ya kujikimu itatoka wapi? Endeleeni tu kuwanyanyasa hao vijana.
Ndio majibu aliyopewa baada ukiomba pesa za mikopo wa wanafunzi, hapo anawasaidia wanafunzi wajue kuwa yeye siye aliyezuia pesa ni mzee wa chemical, hivyo kwa maneno hayo naye haridhiki na ujinga huu wa viwanda
 
mimi nimemaliza degree yangu ya kwanza st.john university bila mkopo wa serikali miaka miwili chini ya rais kipnzi cha watu jk mwaka mmoja chini ya mtukufu wetu raisi. ..haya maumivu ya mwaka mmoja sintoyasahau
 
Nimesoma comment ambayo mdau ametoa laana kwa JK na ENL kuwa beef lao na kutokusameheana ndilo likitufikisha hapa. Nami nazidi kufikiria tu, Je Bernard Membe aliekuwa chaguo la JK angefanya vizuri zaidi ya hali ilivyo au ENL was the best of them all?
 
Nimesoma comment ambayo mdau ametoa laana kwa JK na ENL kuwa beef lao na kutokusameheana ndilo likitufikisha hapa. Nami nazidi kufikiria tu, Je Bernard Membe aliekuwa chaguo la JK angefanya vizuri zaidi ya hali ilivyo au ENL was the best of them all?
Membe alikuwa chaguo la jk baada ya kugombana na lowasa.hii ilikuwa awamu ya lowasa
 
Dah! Sasa waliwapangia vyuo ili iweje. Loan apprctn fee 30000 mpaka ikamilike inagota kwenye 70 mpaka 80. Thn wanawanyima au kuwapa nusa ya gharama za apprctn. Yan bora ya habdsome boy yule maisha yalienda poa
 
Mpaka leo hii bado sijajutia kumpa kura yangu LOWASSA na kuichagua UKAWA.
Anajua umuhimu wa vijana wetu kupata Elimu, Elimu, Elimu.

Haya yanayoendelea sasa, wengi wetu tulishayajua kitambo sana kuwa yatatokea. Na huu ni mwanzo tu, mazito yanakuja zaidi. Hakuna maskini atayefurahia mema ya nchi kwa style hii, maskini wataendelea kupewa matumaini hewa milele na milele.
Siku zote dhulma haishindi haki!
 
Pengne kwake kuamini watu wanaumwa mpka ashuhidie vifo
 
Back
Top Bottom