Chunga sana ulimi wako mwanandoa

Chunga sana ulimi wako mwanandoa

Nahisi kama kuna maneno ambayo Nipo weak/sensitive nayo sana ni maneno mtu akiniambia akiwa na hasira. Yani yananikaaga hapa, na honestly huwa yanabadilisha kila kitu. Mimi naaminigi mtu akiwa na hasira anakwambia vile vitu ambavyo anakuwaziaga mara nyingi ila tu huwa anashindwa kukwambia. " Life and death are in the power of the tongue"
Kweli kabisa. Na pia wakati mtu amelewa unapata point!
 
Aah me hayo mambo ya kutishana siwezi, tumeshindwana basi kila mtu achukue time yake. Eeh tupeane break ndo kitu gani akhuu
Mambo mengine kujifanya tunaiga wazungu, tunapeana break kwani ni mpira huu, we sema am out kila mtu ashike 50 zake.
Eeh akitaka space wewe Mpe na time kabisa, atacalculate velocity ya pa kukupata tena
Akirudi anakutana na density kabisa akose na pa kukaa.
 
Mambo mengine kujifanya tunaiga wazungu, tunapeana break kwani ni mpira huu, we sema am out kila mtu ashike 50 zake.

Akirudi anakutana na density kabisa akose na pa kukaa.
Hahaha huo uzungu mie umenishinda kabisaa, eti atakuta density teh teh
 
Aah me hayo mambo ya kutishana siwezi, tumeshindwana basi kila mtu achukue time yake. Eeh tupeane break ndo kitu gani akhuu
Love love. Yaan ukiingia sehemu ambayo chaka unaweza pata wazimuu. Bora uchelewe kuingia ktk ndoa uingie sehemu sahihi
 
Thank you darlin. Kosea kote, fanyia majaribio kokote ila sio kwenye ndoa
Yaaan my dear unaweza juta y nimeolewa hapa. Better uchelewe kuolewa uingie sehemu sahihi kuliko kuwahi unaingia sehemu matesoo tu manyanyaso mia kidogo. Ndoa ni zaidi tunavyoijua. Mungu atusaidie ktk hilo. Utakuta mtu anaomba Mungu mwenzie afe ili awe free. Mungu tunaomba rehema.
 
jana mama mtoto alikuwa analalamika mm nishavurugwa na mambo yangu nilipotoka nikamjibu kuwa "Nimechoka na haya mapenzi ya namna hii" ebanah ile kauli sikuisema nikiwa serious sana japo nilikuwa nimekasilika matokeo yake akalala sebuleni kwenye kochi na mtoto na alikataa kabisa kuongea na mm pamoja na kumbembeleza kote usiku kucha matokeo yake leo asubuhi kanichunia mpaka naondoka nyumbani sikupewa hata salamu...

Kila nikim-text ajibu na simu zangu hapokei hapa naenda nyumbani kinyonge sijui nini kitatokea maana huyu bibie hajawahi kuwa mkali hivi hata siku huu ni mwaka 3 ngononi
 
Yaaan my dear unaweza juta y nimeolewa hapa. Better uchelewe kuolewa uingie sehemu sahihi kuliko kuwahi unaingia sehemu matesoo tu manyanyaso mia kidogo. Ndoa ni zaidi tunavyoijua. Mungu atusaidie ktk hilo. Utakuta mtu anaomba Mungu mwenzie afe ili awe free. Mungu tunaomba rehema.
Cha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaida
 
Cha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaida
Kabisaaaa. Hata kama kuna shida neema ya Mungu itawabeba tuu. Kuna wepesi fulani mtauona
 
jana mama mtoto alikuwa analalamika mm nishavurugwa na mambo yangu nilipotoka nikamjibu kuwa "Nimechoka na haya mapenzi ya namna hii" ebanah ile kauli sikuisema nikiwa serious sana japo nilikuwa nimekasilika matokeo yake akalala sebuleni kwenye kochi na mtoto na alikataa kabisa kuongea na mm pamoja na kumbembeleza kote usiku kucha matokeo yake leo asubuhi kanichunia mpaka naondoka nyumbani sikupewa hata salamu...

Kila nikim-text ajibu na simu zangu hapokei hapa naenda nyumbani kinyonge sijui nini kitatokea maana huyu bibie hajawahi kuwa mkali hivi hata siku huu ni mwaka 3 ngononi
Pole sana. Kajieleze tuu ataelewa mueleze situation uliyokua nayo thus y ukamjibu vile. Bt ukome cku nyingine ucrudie
 
Cha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaida
We hebu usimsumbue mungu wa jf bwana, si ulishaambiwa amechoka?
 
"Naregret sana kukuoa, kwanza sikuwahi kukupenda nilikosea tu njia, mi nilikuwa nampenda yule dada mfanyakazi mwenzangu ila sijui hata nilitokana wapi na wewe usie na mbele wala nyuma hadi nikaachana na yule dada." sijui uliniloga?" haya ni maneno alikuwa anaambiwa jirani yangu na mume wake.
Ni kweli Ndoa zina changamoto nyingi sana tu ila ukiwa kama mwanandoa panapotokea kupishana na mume/mke wako chunga sana ulimi wako maana maneno mabaya utayosema yana nguvu sana.Yanaweza punguza au kuondoa kabisa upendo kwa mwenzako.
Ndio una hasira,mwenzio kakuudhi sana ila yakupasa uchunge maneno usemayo,ni afadhali mara mia kama una hasira usiongee kabisa.maneno kama haya "najuta kuwa na wewe "au "sikuwahi kukupenda" ni maneno ambayo yana uzito sana kiasi cha kuweza kupunguza upendo au kuondoa kabisa upendo kwa anayeambiwa.
Mwanandoa chunga sana pale unapokuwa na hasira maana hasira zinaweza kuja kukuponza.
Tunalalamika sana ndoa ni mbaya ila ni maneno mabaya tunayoambiana tukiwa ndani ya ndoa ndo yanayomaliza ndoa zetu. usitegemee eti umwambie mwenzio sikuwahi kukupenda halafu baadaye ukaja kusema zilikuwa hasira kama atakuja kuwa sawa,hata ukiomba msamaha hili neno bado litamsumbua sana ni neema tu ya Mungu ndo itakuja kumuondoa na kufanya asahau na kuwa normal.
Jamani mwanandoa pima maneno unayomwambia mwenzio wakati ukiwa na hasira.Usiropokeropoke tu.


Huyo ni dada wa kichagga alikuwa anapewa makavu?
 
Nilipojifungua mara ya kwanza nilirudi kwetu kuugua uzazi,nilimsikia mwanaume akimwambia mdogo wangu ambae alikua mpenzi wake,`mwanamke gani hata pa kushika huna,kwanza nimekuonea huruma kukutongoza"maskini mdogo wangu hakua mnene lakini pia sio mwembamba,alilia kilio cha uchungu!nilisikia nikiwa ndani wao wakiwa nje,nilijikongoja nikatoka nje,nakumbuka nilimwambia yule kaka Mungu akuweke hai na afya ushuhudie T akiolewa na mtu wa maana tena akutie kwenye shida ili ukumbuke upuuzi wako,nilimfukuza nakumwambia ntamuitia mwizi!aliondoka,mdogo wangu alikuja kuolewa tena kwa heshima.,yule jamaa yupo hapo ukonga sijui alikosa nini.
 
Back
Top Bottom