Chunga sana ulimi wako mwanandoa

Chunga sana ulimi wako mwanandoa

Maneno kama jinga, pumbav huna akili, sikuamini, huna mvuto and the like yanabadili kabisa upepo kwenye ndoa
 
Ndoa ni kifungo.. nadhani mnaelewa yanayotendeka Segerea, Hayana tofauti na maisha ya ndoa
Hapana mkuu
Ndoa ni tamu mno kama mnapendana na mlichunguzana kabla ya kuifunga!Mm nanenepa tu hapa

Mama sasa kaenda Mnadani kwenye biashara zake akirudi anakuja na nundu na viazi apike supu
 
jibu la upole huibadili hasira kuwa furaha au hata huituliza hasira kutotenda maov....aliyewahi kuwa MCHUMBA wangu fulani hunipgia cmu kunilalamikia kwa yanayomkuta alikoolewa..nilimuacha nilipoziona dalili tu za kuwa na mwingne japo hakutegemea...CKUWAHI KUMJIBU VIBAYA licha ya makosa mengi, wala CKUWAHI KUPELELEZA CHOCHOTE kumuhusu yeye kupitia rafki zake....sasa tatzo alipatwa na tamaa ya pesa ghafla na mimi ndo choka mbaya...aliko sasa ni anadharauliwa na MUMEWE VIBAYA!

Hehehehehehehehehehe!! sio kwamba nafurahi yanayomkuta, hapana!!...nimeikumbuka SMS moja ya mwisho kumtumia yenye ujumbe huu.." NASIKITIKA KUKUKOSA mpenz wangu A"". ujumbe hajausahau mpaka kesho..
NINAPOKUWA NA HASIRA JUU YA MPENZ WANGU, nilikuwa napenda kumkumbatia kwa upole na kumueleza kwamba amenikwanza ktk jambo fulan na naliweka waz na niliomba anipe muda wa kuwa faragha kdogo! NINAPOKUTANA NAE TENA namkuta hata YEYE AMEANDAA NAMNA NZURI SANA ya kuniomba msamaha...
 
Hapana mkuu
Ndoa ni tamu mno kama mnapendana na mlichunguzana kabla ya kuifunga!Mm nanenepa tu hapa

Mama sasa kaenda Mnadani kwenye biashara zake akirudi anakuja na nundu na viazi apike supu
Aah, Mambo gani hayo kila utakapokuwapo lazmA mwenzako awe na taarifa, Kila unachokifanya lazma mwenzako aujue..
kil mikakati na mipango yako yote iwe wazi, ukichelewa kurudi utapigiwa simu hadi ujute...
 
Chunga pia ni details gani unampa mtu, especially online pals. Kuna watu wana akili za mbayuwayu.
 
Back
Top Bottom