Una uhakika?Kivipi tena? Mbona ipo ndani kwenye kikopo kilichoisha blueband
Upo mkoa gani? Maeneo ya pwani sidhani kama kuna shida ya MUNYU.....Daslamu chumvi pakti 3(500g) ni Tsh 1000Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola,Umeme,ikaja Sukari,Sasa ni zamu ya Chumvi.Madini tunayochimba hapahapa nchini.Kuanzia Kigoma,Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi.Sasa iweje iadimike nchini!.Kuna shida gani?
Hahah wewe bwana!!Kivipi tena? Mbona ipo ndani kwenye kikopo kilichoisha blueband
uko mkoa gani mkuuHaijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola,Umeme,ikaja Sukari,Sasa ni zamu ya Chumvi.Madini tunayochimba hapahapa nchini.Kuanzia Kigoma,Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi.Sasa iweje iadimike nchini!.Kuna shida gani?
🤣🤣🤣🥴Hahah wewe bwana!!
Ntakuja kuomba chumvi aiseeKivipi tena? Mbona ipo ndani kwenye kikopo kilichoisha blueband
Chumvi ipi mleta mada unayoongelea?! Ni hii hii chumvi ya Uvinza ama nyengine?! [emoji848]Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola,Umeme,ikaja Sukari,Sasa ni zamu ya Chumvi.Madini tunayochimba hapahapa nchini.Kuanzia Kigoma,Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi.Sasa iweje iadimike nchini!.Kuna shida gani?
Dar hihii nenda maduka ya kitumbini Chumvi ni mtihaniuko mkoa gani mkuu
tukuletee chumvi
hapa tarime ni nyingi kwa 500 tu
Namaanisha Chumvi ya jikoni,munyu,Mleta mada fafanua mkuu unamaanisha chumvi gani?
Kivipi tena? Mbona ipo ndani kwenye kikopo kilichoisha blueband
Kwani sukar ilivo adimika ilikua inatengenezwa nje ya nchi?Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola,Umeme,ikaja Sukari,Sasa ni zamu ya Chumvi.Madini tunayochimba hapahapa nchini.Kuanzia Kigoma,Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi.Sasa iweje iadimike nchini!.Kuna shida gani?
🤣🤣🤣 mambo?We unachekesha sana