Yeah!Chumba cha msela hicho.Kodi yenyewe kulipa ni kimagumashi.😝😝😝😝Ikitokea inabidi uishi mazingira haya, unatafuta mfuniko hatakama ni sinia unaweka mkono wa kushikia, unafunika choo. Ukimaliza kupika chakula unahamishia kwenye fridge.
Ndo self container za buza