Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 7,195
- 21,254
Swali: Kuna vyumba vitatu ambavyo mfungwa analazimika kuchagua kimoja ili kuokoa maisha yake:
1-Chumba cha kwanza: Kimejaa moto mkali unaoungua kila kitu.
2-Chumba cha pili: Kimejaa wauaji wa kukodiwa wenye silaha nzito.
3-Chumba cha tatu: Kimejaa simba ambao hawajala chochote kwa muda wa miaka mitatu.
Tuchangamshe asubuhi hii, mwenye jibu sahihi atapata zawadi.
1-Chumba cha kwanza: Kimejaa moto mkali unaoungua kila kitu.
2-Chumba cha pili: Kimejaa wauaji wa kukodiwa wenye silaha nzito.
3-Chumba cha tatu: Kimejaa simba ambao hawajala chochote kwa muda wa miaka mitatu.
Tuchangamshe asubuhi hii, mwenye jibu sahihi atapata zawadi.