mzee wa kigonzile
Member
- Jul 3, 2015
- 88
- 128
Habari wadau wa JF. Kwa wadau mlioko pande za Iringa mjini, Chumba kinapangishwa maeneo ya semtema duka la mchele. Kodi kwa mwezi ni elfu thelathini (30). Choo ni cha nje, maji yanapatikana masaa 24. Umeme unaotumika ni wa luku. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0754 200 387 / 0714 241 547