Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Hahahhaaa laa hasha hauwezi kuwa wa huko na yale maanjumatNope. Mimi ni Musoma type, Mraa hapa nashushia kiboro na ucchi.
Hahahhaaa laa hasha hauwezi kuwa wa huko na yale maanjumatNope. Mimi ni Musoma type, Mraa hapa nashushia kiboro na ucchi.
Mraa, mimi ni Musoma type, nimezaliwa na kukulia zenji thus Y. Then wazenji hawana tabia hizo za kiajabu nimeishi nao sana, tena hata kama wewe ndio utamnyang'anya chake au kumuibia kikubwa atasema "Mungu atanilipia" lakini sio yeye kuwa tapeli kama hivyo.Hahahhaaa laa hasha hauwezi kuwa wa huko na yale maanjumat
Huyu ana lake jamboMraa, mimi ni Musoma type, nimezaliwa na kukulia zenji thus Y. Then wazenji hawana tabia hizo za kiajabu nimeishi nao sana, tena hata kama wewe ndio utamnyang'anya chake au kumuibia kikubwa atasema "Mungu atanilipia" lakini sio yeye kuwa tapeli kama hivyo.
Yeye ndio tapeli, lengo lake ni kuwachafua wengine ili aweze kufanikisha yake, kuweni macho.Huyu ana lake jambo
Usikurupuke sijaleta uzi kwa ajili ya uchonganishi naongea nnachokijua.Huu ni uchonganishi wa hali ya juu, wapemba hawana tabia za kipumbavu, kijinga, kitapeli kama ulivyowaaminisha watu kwenye uzi wako.
Mkuu mara nyingi mimi naongea kitu nnachokiona haijalishi mimi natoka wapi wala nini, huyu Alibakar anataka kubisha vitu asivyovijua.I bet wewe ni mpemba
Sijamaanisha kumletea tangazo ila uhakika kilichotokea ni cha kweli na huyo mtu yupo Kigamboni.bali mkwe wa babu anatibu, niunganishe naye!![]()
![]()
Unabisha nini sasaMraa, mimi ni Musoma type, nimezaliwa na kukulia zenji thus Y. Then wazenji hawana tabia hizo za kiajabu nimeishi nao sana, tena hata kama wewe ndio utamnyang'anya chake au kumuibia kikubwa atasema "Mungu atanilipia" lakini sio yeye kuwa tapeli kama hivyo.
Sina asili ya utapeli hata chembe na sipendi kuwa karibu na mtu ambae ana viashiria vya utapeli.Yeye ndio tapeli, lengo lake ni kuwachafua wengine ili aweze kufanikisha yake, kuweni macho.
Hahaha JF hii ndio raha yake.Huyu jamaa ndio yule wa sms za superfeo na utajiri sema leo kaandika lugha ilionyooka
Sijakwambia unitafute na sipigii mtu debe, nina kazi yangu ndani ya serikali sijihusishi na utapeli wala uganga bali ukinichokonoa nna mtu wangu namtumia nakuweka sawa.hapo utataka tukutafute ili utuonyeshe hiyo babu kisha badala yake unatutapeli
Sawa mkwe