CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

Kwani ili awe mshangazi inabidi age iwe go au akiwa bonge hata kama hajazeeka total anakukua mshangazi?
 
Kwani ili awe mshangazi inabidi age iwe go au akiwa bonge hata kama hajazeeka total anakukua mshangazi?
ba175d9c-b366-48b8-ba73-0c02a6684dda.jpeg
 
Jidanganye we haya
Watu wa group A+ kila siku panadol

Mie group O + mala ya mwisho kuumwa nilale kitandani ilikua 5yrs ago
Haya mwenzako mpaka sasa sijawahi kuchomwa sindano.
sijawahi chomwa sindano nikiwa najitambua an tokea najitambua an najua kuhadithiwa tu kuwa ulichimwa sindano ukiwa na umri flan

hizi sindano za kupimwa maralia sijui damu nimechomwa mara mbili tu. hospital ndo kabisaaaa sipajui nikienda jua naenda kuona mtu au niende tu kwa maswala mengine... namshukuru allah kwa hii hali na naomba kila siku aniepushe na magonjwa

kingine kwenye kula wamama aisee huwa natumia kinga mara moja tu ilaa baada ya hapo ni kavuuuuu an sijari wala nini ila nina mkadilia mtu kwa macho sometimes
 
Haya mwenzako mpaka sasa sijawahi kuchomwa sindano.
sijawahi chomwa sindano nikiwa najitambua an tokea najitambua an najua kuhadithiwa tu kuwa ulichimwa sindano ukiwa na umri flan
Hongera sana kijana
hizi sindano za kupimwa maralia sijui damu nimechomwa mara mbili tu. hospital ndo kabisaaaa sipajui nikienda jua naenda kuona mtu au niende tu kwa maswala mengine... namshukuru allah kwa hii hali na naomba kila siku aniepushe na magonjwa
Amen
kingine kwenye kula wamama aisee huwa natumia kinga mara moja tu ilaa baada ya hapo ni kavuuuuu an sijari wala nini ila nina mkadilia mtu kwa macho sometimes
Kavu kavu au sio
 
Mara mseme tutoto ndio tutamu, mara mseme mishangazi ndio mafundi. Mnatuchanganya
 
Back
Top Bottom