Diaspora wa Tanzania mchango wao ni JF MMU pekee, kwenye uchumi na ujasiriamali hutowaona kamwe. Sana Sana wakichoka kuosha vyombo huko utawaona Chit Chat. Usitegemee remittance kutoka kwa mijitu ya aina hii...
Yanga kama CDM hakuna haki lazima kuandamana kushinikiza kupata haki. Haki ni pamoja na kupewa ridhaa au kukataliwa
So if tz was in the top 10 , you would agree to dual citizenship?
The diaspora has not paid its dues.
Mkuu umeisoma post ya Chris Lukosi #37 na kuielewa?
Hivi mbunge akuonee wivu..husda...chuki vya nini?
Hivi watawala wanapobana mambo Fulani kulinda maslahi yao wewe kwako ni wivu?
Mataifa makubwa yanapoweka Sera kandamizi kwa nchi masikini ili kulinda maslahi yao wewe hii unaiita chuki? Husda? Wivu? Choyo?
Vita ya maslahi inaweza kupiganwa kwa nyimbo za wivu...choyo..chuki na husda?
Toka awali tunawaambia hii ni very serious issue tofauti na wengi mnavyodhani kwa kutoa sababu nyepesi..
Mtu anapopinga uraia pacha sababu ya maslahi yake huu si wivu wala husda hii ni nature ya capitalism...
Ni wakati wenu na nyinyi kujiratibu na kupigana kwa kutosha na wahafidhina..
Na hii itafanikiwa kwanza kwa diasporas kujipanga na kuwa na umoja madhubiti..( hapa panatiliwa mkazo sababu huko nje watanzania wengi wanachukiana na kuoneana wivu kuliko nyie mnavyoona huku nyumbani?
Pili mtambue hii ni vita ya maslahi si lelemama kama wivu au husda...
Naamini umenipata mpaka hapo..
CC: Kiranga Tuko JMUnish1 Mkandara .. OLESAIDIMU et al
Tatizo lenu hamuwaelewi Watanzania au labda mmesahau kuhusu Watanzania.
Tumeshapata matatizo mengi sana hasa hasa na mahusiano na wageni, kuanzia wahindi, wakenya, warundi n.k, sasa nyie mnapoanza kudai uraia wa nchi mbili bila maelezo mazuri watanzania lazima wawe na mashaka. And remember if it aint broke, dont fix it. What kind of an animal you call "Dual citizenship"?.
Mnakaa kuongelea "Tunakosa opportunities huku tulipo", how does that affect my daily life in Tanzania? Mnaongelea kuhusu "Mabilioni", do you know the challenges we are facing due to a large influx of foreigners in this country, we cant be blind to this fact just for the sake on "Billions" you are "eagerly waiting to start sending" back to Tanzania.
As far as I know (You can correct me if am wrong), when you have legislation that allow dual citizenship, it means, every other person from another country[barring some restrictions], that allows dual citizenship can apply to be a citizen of your country. Tuna wakenya wengi tu hapa Tanzania ambao wameoa dada zetu so that they can buy land in this country. Kesho tukiruhusu waweze kuomba uraia, na uki-take into consideration how corrupt the country's officials are, we unadhani tutakuwa salama? Tuna jirani hapa Rwanda, ukubwa wa nchi yake is less than half the size of lake Victoria but has a population of almost 12 mil. We unadhani kesho ukiruhusu kiurahisi tu hawa nao waweze kuomba uraia kutatosha hapa.
Inawezekana mna mambo ya maana mnayotaka kufanya hapa Tanzania, lakini dont ignore our concern. Mnataka kuintroduce kitu kipya kwenye maisha yetu, lazima mtushawishi and iron out all the doubts. Tumekaa bila Dual citizenship all this time bila shida yoyote, dont force us to fit in your new found shoes.
Show us the numbers, show us the benefits. Jipangeni kama alivyosema Le Mutuz, semeni how much you have done to the country mpaka sasa hivi. Mmefanya investement kiasi gani?
If it ain't broke, dont fix it
Kweli mkuu...
Kidogo tuko kaonesha hoja ya Msingi
Vipi msimamo wako bado ule ule?
Kwenye hili la uraia pacha!!!!????
Till my last drop, as of now it is not a priority!!!!!!
Msome MtamaMchungu pia
Ha ha ha
Hebu wafikirie watanzania wenzio mkuu..
Tatizo lenu hamuwaelewi Watanzania au labda mmesahau kuhusu Watanzania.
Tumeshapata matatizo mengi sana hasa hasa na mahusiano na wageni, kuanzia wahindi, wakenya, warundi n.k, sasa nyie mnapoanza kudai uraia wa nchi mbili bila maelezo mazuri watanzania lazima wawe na mashaka. And remember if it aint broke, dont fix it. What kind of an animal you call "Dual citizenship"?.
Mnakaa kuongelea "Tunakosa opportunities huku tulipo", how does that affect my daily life in Tanzania? Mnaongelea kuhusu "Mabilioni", do you know the challenges we are facing due to a large influx of foreigners in this country, we cant be blind to this fact just for the sake on "Billions" you are "eagerly waiting to start sending" back to Tanzania.
As far as I know (You can correct me if am wrong), when you have legislation that allow dual citizenship, it means, every other person from another country[barring some restrictions], that allows dual citizenship can apply to be a citizen of your country. Tuna wakenya wengi tu hapa Tanzania ambao wameoa dada zetu so that they can buy land in this country. Kesho tukiruhusu waweze kuomba uraia, na uki-take into consideration how corrupt the country's officials are, we unadhani tutakuwa salama? Tuna jirani hapa Rwanda, ukubwa wa nchi yake is less than half the size of lake Victoria but has a population of almost 12 mil. We unadhani kesho ukiruhusu kiurahisi tu hawa nao waweze kuomba uraia kutatosha hapa.
Inawezekana mna mambo ya maana mnayotaka kufanya hapa Tanzania, lakini dont ignore our concern. Mnataka kuintroduce kitu kipya kwenye maisha yetu, lazima mtushawishi and iron out all the doubts. Tumekaa bila Dual citizenship all this time bila shida yoyote, dont force us to fit in your new found shoes.
Show us the numbers, show us the benefits. Jipangeni kama alivyosema Le Mutuz, semeni how much you have done to the country mpaka sasa hivi. Mmefanya investement kiasi gani?
If it ain't broke, dont fix it
- Mkuu hakuna anayewachukia ila if anything mnajichukia wenyewe na kama kuna anayewachukia basi haelewi kabisa maisha ya huko yalivyo, Waziri Membe peke yake hawezi kuwapa Dual Citizenship wenye uamuzi ni Wabunge ambao nyie kwa ujumla wenu na mapesa yenu yote mmeshindwa kuwafikia na kuwaelimisha nini maana na faida ya kuwa na Dual Citizenship, na vilio vyenu huku JF kama hivi haviwezi kuwasaidia kabisa,
- Naona umem-target Waziri Membe binafsi kwa sababu ambazo wala hazina msingi kabisa kwa sababu kumbuka kwamba hata Rais wa sasa alipokuwa Waziri wa nje kwa miaka 10 hakuweza kulitatua hilo tatizo na hana mtoto mwenye uraia wa nchi mbili, ni maandiko yenu kama haya ndio huwa yanawatia nyongo sana waamuzi wa ishu yenu inaendelea kukwama, poleni sana!!
Le Mutuz
Diaspora wa Tanzania ni mzigo kwa Taifa, wapo wengine wanaishi mtoni lakini wanatumiwa hela kutoka bongo na wazazi wao. Wengine hata kurudi kusalimia ndugu zao, au kuja kula Bata holiday hakuna. Wengine wakirudi likizo wanakaa majumbani kwa wazazi wao kula kulala hawatoi hata senti ya matumizi. Wengine hawataki kwenda mkoa kwa mabasi wanalazimisha kuazima magari ya ndugu zao na wese tuwajazie, ukiwanyima wanasambaza lawama ukoo nzima. Diaspora wa Tanzania mchango wao ni JF MMU pekee, kwenye uchumi na ujasiriamali hutowaona kamwe. Sana Sana wakichoka kuosha vyombo huko utawaona Chit Chat. Usitegemee remittance kutoka kwa mijitu ya aina hii...
Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?
Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?
Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?
Kwani wakiwa na uraia wa nchi mbili tunaathirika vipi?
Sijazungumzia swala la uraia pacha, nimezungumzia michango yao nchini pamoja na kutowasilisha hoja ya kuomba uraia pacha. Sasa wao hoja yao kuu ni wivu na chuki.
Le Mutuz, sasa wewe ulikaa huko kwa miaka nenda rudi halafu hutaki kuelewa faida za dual citizenship sasa sijui tutegemee nini kwa akina Komba na Majimarefu!! The whole thing faida zake ni nyingi kuliko hasara (kama zipo) ila TZ kila siku lazima tuwe wa mwisho kwenye kila jambo!! Sioni sababu za hii kitu kusukumiziwa Membe as if is the only person anayeweza kujenga hoja au kuona faida zake. Unless tunataka kusema Membe yuko more exposed kwa vile amekaa nje sana kuliko hawa viongozi wengine??