The Best Of All Time
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,968
- 6,839
Unavosema" utuombee sisi wakosefu..." Hiyo si ibada?Waroma hawamwabudu Mama Bikira Maria,bali wanamuheshimu(Veneration)
Yaani Maria, akuombee mbele ya nani kwanza wakati ni jukumu lako kumuomba Mungu aliye Mtakatifu mno akusamehe dhambi zako.