Sayansi ya Tiba imepiga hatua kubwa sana.
Kuna Utaalamu unaotumiwa kuwasaidia wanandoa kupata mtoto wao kupitia mwanamke mwingine ambaye anapandikizwa EMBRYO ya wanandoa hao; mwanamke huyo anakuwa ni mbebaji na mlishaji tu, lakini hatachangia chochote kwa mtoto atakaye zaliwa na wala hatafanana naye Kanisa. Mfano kama mwanamke huyo ni MZUNGU wakati WANANDOA WALIKUWA WAAFRIKA, basi mtoto atakuwa Mwaafrika kabisa. Utaalamu huu unaitwa Gestational Surrogacy
Pia Kuna Utaalamu unaoitwa cloning ambao uliisha fanyiwa majaribio kwa wanyama (mfano dolly the sheep) ila kutokana na sababu za kimaadili ulikataliwa kufanyiwa wanadamu. Cloning inaruhusu mtu(awe ni muanamume au mwanamke) kuchukuliwa cells zake na kufanyiwa Utaalamu na baadae kupandikiwa kwa mwanamke ambapo mtoto atakaye zaliwa anakuwa ni mtoto wa mzazi Mmoja tu, yaani yule aliyetoa cells zake. Hapo tena yule mwanamke anatumika kubeba tu yule mtoto.
Sasa Fikiria kile alichoambiwa Bikira Maria na Malaika Gabriel kuwa utapata mimba na kuzaa mwana naye utamwita Yesu Luka 1:32
Luka 1:34 alipouliza "Hilo litawezekanaje kwakuwa sina uhusiano wa kingono na mwanamume?". Malaika akamwambia Luka 1:35 "Roho Takatifu itakuja juu yako na Nguvu za aliye juu zaidi zitakufunika kwa hiyo yule atakayezaliwa ataitwa MTAKATIFU MWANA WA MUNGU"
Kwa hiyo wito wangu kwa wote wasiomwamini Yesu hasa Waislam, ni kuwa mtu huyu kama alivyosema mwenyewe alishuka toka mbinguni, kwa Baba yake na Wala hakuwa na uhusiano wowote wa kibailogia na mariamu na hata na wanadamu wengine. Hii itoshe kuwafungua akili zenu kuyafuata mafundisho yake kama yalivyorekodiwa kwenye Gospel na wala msijidanganye ati sisi tunamwamini Yesu kulingana na Quran.
YULE KWENYE QURAN ni ISSA ambaye sijui ametokea wapi atawapoteza.
Pia mkumbuke ni Yesu ndye aliyepewa Mamlaka yote na Mungu kuhukumu wanadamu na vile vile kuwafufua wafu. Fungueni macho ya akili zenu. Mkumbuke Dunia itakuwa inaadhimisha miaka 2000 ifikapo mwaka 2029 Tangu Yesu kutangaza Rasmi na Mungu kuwa Masihi
Kuna Utaalamu unaotumiwa kuwasaidia wanandoa kupata mtoto wao kupitia mwanamke mwingine ambaye anapandikizwa EMBRYO ya wanandoa hao; mwanamke huyo anakuwa ni mbebaji na mlishaji tu, lakini hatachangia chochote kwa mtoto atakaye zaliwa na wala hatafanana naye Kanisa. Mfano kama mwanamke huyo ni MZUNGU wakati WANANDOA WALIKUWA WAAFRIKA, basi mtoto atakuwa Mwaafrika kabisa. Utaalamu huu unaitwa Gestational Surrogacy
Pia Kuna Utaalamu unaoitwa cloning ambao uliisha fanyiwa majaribio kwa wanyama (mfano dolly the sheep) ila kutokana na sababu za kimaadili ulikataliwa kufanyiwa wanadamu. Cloning inaruhusu mtu(awe ni muanamume au mwanamke) kuchukuliwa cells zake na kufanyiwa Utaalamu na baadae kupandikiwa kwa mwanamke ambapo mtoto atakaye zaliwa anakuwa ni mtoto wa mzazi Mmoja tu, yaani yule aliyetoa cells zake. Hapo tena yule mwanamke anatumika kubeba tu yule mtoto.
Sasa Fikiria kile alichoambiwa Bikira Maria na Malaika Gabriel kuwa utapata mimba na kuzaa mwana naye utamwita Yesu Luka 1:32
Luka 1:34 alipouliza "Hilo litawezekanaje kwakuwa sina uhusiano wa kingono na mwanamume?". Malaika akamwambia Luka 1:35 "Roho Takatifu itakuja juu yako na Nguvu za aliye juu zaidi zitakufunika kwa hiyo yule atakayezaliwa ataitwa MTAKATIFU MWANA WA MUNGU"
Kwa hiyo wito wangu kwa wote wasiomwamini Yesu hasa Waislam, ni kuwa mtu huyu kama alivyosema mwenyewe alishuka toka mbinguni, kwa Baba yake na Wala hakuwa na uhusiano wowote wa kibailogia na mariamu na hata na wanadamu wengine. Hii itoshe kuwafungua akili zenu kuyafuata mafundisho yake kama yalivyorekodiwa kwenye Gospel na wala msijidanganye ati sisi tunamwamini Yesu kulingana na Quran.
YULE KWENYE QURAN ni ISSA ambaye sijui ametokea wapi atawapoteza.
Pia mkumbuke ni Yesu ndye aliyepewa Mamlaka yote na Mungu kuhukumu wanadamu na vile vile kuwafufua wafu. Fungueni macho ya akili zenu. Mkumbuke Dunia itakuwa inaadhimisha miaka 2000 ifikapo mwaka 2029 Tangu Yesu kutangaza Rasmi na Mungu kuwa Masihi