Shasa Courtney
Member
- Jul 21, 2011
- 25
- 3
- Thread starter
- #21
Karibu jamvini na naomba badili avatar yako iwe hii:
Haha hiyo ni nni tena? kama nimeisoma kwenye historia mambo ya zana zilizotumika stone age.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu jamvini na naomba badili avatar yako iwe hii:
Haha hiyo ni nni tena? kama nimeisoma kwenye historia mambo ya zana zilizotumika stone age.
Thanks mate, bahati mbaya vinywaji vyote vya moto.. au kwenu hakuna umeme?
...............Shasa Courtney......karibu sana,......................,elewa pia humu kuna akina richmond,dowans na hata symbion,..................achilia majenereta ambayo yapo kila mahali,.................fahamu pia kuna kina solar au umeme jua,......hivyo hakika ukitumia nafasi na jukwaa hili vizuri utafaidika sana,.............................,hawajambo uko utokapo?..............................,ngoja ukaribishwe japo na IPTL,...........................SONGAS naye yupo subiria kidogo anakuja...........................,kabla huja changia humu JF jitahidi kwanza kuchangia ktk gridi ya taifa,....................karibu sanaHodi hodi jamani jamvini naingiasalam natoa kwa wote mliotanguliaJF ndio makazi mwanajamii kwangu mwana kiwiaSihitaji kuazima jamvi kwani sina wa kumliliaNinachotaka ni mada za moto kuchangia