Chubwi...!

Karibu jamvini na naomba badili avatar yako iwe hii:

tear%20drop.jpg

Haha hiyo ni nni tena? kama nimeisoma kwenye historia mambo ya zana zilizotumika stone age.
 
Hodi hodi jamani jamvini naingiasalam natoa kwa wote mliotanguliaJF ndio makazi mwanajamii kwangu mwana kiwiaSihitaji kuazima jamvi kwani sina wa kumliliaNinachotaka ni mada za moto kuchangia
...............Shasa Courtney......karibu sana,......................,elewa pia humu kuna akina richmond,dowans na hata symbion,..................achilia majenereta ambayo yapo kila mahali,.................fahamu pia kuna kina solar au umeme jua,......hivyo hakika ukitumia nafasi na jukwaa hili vizuri utafaidika sana,.............................,hawajambo uko utokapo?..............................,ngoja ukaribishwe japo na IPTL,...........................SONGAS naye yupo subiria kidogo anakuja...........................,kabla huja changia humu JF jitahidi kwanza kuchangia ktk gridi ya taifa,....................karibu sana
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom