Shasa Courtney
Member
- Jul 21, 2011
- 25
- 3
Hodi hodi jamani jamvini naingia
salam natoa kwa wote mliotangulia
JF ndio makazi mwanajamii kwangu mwana kiwia
Sihitaji kuazima jamvi kwani sina wa kumlilia
Ninachotaka ni mada za moto kuchangia
Karibu jamvini na naomba badili avatar yako iwe hii:
Hahaha..
FF, hicho ndo nini sasa!??
Hiyo ndio Chubwi kwa kiswahili kama id yake.
Duh...kumbe kiswahili kipanaee..
chubwi kwa kiingereza ni nini!??
Sinker
Do, yani inatumika kuzamisha vitu!??
Hii matumizi yake ni nini?
na mbona unampatia avatar kama hiyo aisee..
Hiyo hutumika kufunga mshipi wa kuvulia samaki ili uzame chini na usielee. Nampa hiyo avatar kwa kuwa ndio jina lake "Chubwi" sijakisia.
Da Faiza nakutafuta nikupe zawadi hiii! .. nakuatakia week end njema!
\Hiyo hutumika kufunga mshipi wa kuvulia samaki ili uzame chini na usielee. Nampa hiyo avatar kwa kuwa ndio jina lake "Chubwi" sijakisia.
Ahsante njiwa.
Karibu sana SC jisikie uko nyumbani kabisa. Kwenye hiyo friji nyuma yako kuna vinywaji vya kila aina ikiwemo Togwajisikie huru kuchangamkia kinywaji ukipendacho, lakini hiyo avatar yako niaje!!!? karibu sana