Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
It happened to me as a man. Nilimdisi mdada mmoja kwa sababu ya ujinga wangu by then, nikamchanganya sana afya yake ikayumba kweli na mpaka ACSEE akaambulia ziro japo ni kichwa kweli, akanichukia sana tena sana sana.Nikaendelea na maisha akaendelea na maisha.Baada ya kujifunga kwa mdada mwingine, those feelings za kwamba ingekuwaje ningekuwa na wa awali daima zinanitesa(KWA HAKIKA MAMBO YANGEKUWA TOFAUTI)! Then one day, after five years bila mawasiliano naye, she called. Kwamba amenisamehe, kwamba she wishes she was married to me,kwamba she is just married as part of life, but it is me she loves! Wandugu, niliumia sana na kufedheheka kweli. Halafu mbaya zaidi, mmewe anafanya kazi nje ya TZ, mke wangu anafanya kazi mkoa mwingine, na mimi na huyu dada tuko mji mmoja! Tumebaki kujiuliza kwa nini, WHY? JE ILIMAANISHWA TUISHI PAMOJA?
Nimalizie kwa kukusihi mpendwa, mapenzi yanaitwa mapenzi kwa sababu.That man is your sadness kwa sasa, lakini huenda ndio furaha yako ya kweli duniani. Usijifiche,usione aibu, wellcome him back kabla hujachelewa.Usijidanganye unaweza kuyaviza mapenzi hivi hivi, utaishia kujiumiza na kujidhulumu. Go back to him my dear, you gave him your all, it seems, he is ready to give you his all! Ubarikiwe.
-"To love is to risk not being loved in return. To hope is to risk pain. To try is to risk failure, but risk must be taken because the greatest hazard in life is to risk nothing."-...Sio maneno yangu hayo mbu, nimeya quote tu huko ugenini,...LOL!