Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Hivi jamani chozi la mwanamke linamaanisha nini ???
kwa kuwa kwenye shida analia, kwenye furaha pia hutokwa na machozi, akimuona mume/mchumba na mwanamke mwingine pia hulia, ukimfumania na mwanamume mwingine pia hulia, isitoshe pia hata kwenye kale kamchezo pia hulia!!! Ana nini mwanamke na machozi yake?
kwa kuwa kwenye shida analia, kwenye furaha pia hutokwa na machozi, akimuona mume/mchumba na mwanamke mwingine pia hulia, ukimfumania na mwanamume mwingine pia hulia, isitoshe pia hata kwenye kale kamchezo pia hulia!!! Ana nini mwanamke na machozi yake?