kidabibiaga
JF-Expert Member
- Apr 4, 2016
- 619
- 161
Chadema wangemfukuza kama nani? Issue ni kufukuzwa darajani issue ni kusema sio fisadi? Mbna hueleweki?Point ni kua chadema walimfukuza kama alivyofanyiwa pale darajani?
Chadema wangemfukuza kama nani? Issue ni kufukuzwa darajani issue ni kusema sio fisadi? Mbna hueleweki?Point ni kua chadema walimfukuza kama alivyofanyiwa pale darajani?
Kufukuzwa kwa utaratibu upiChadema wangemfukuza kama nani? Issue ni kufukuzwa darajani issue ni kusema sio fisadi? Mbna hueleweki?
wakati wa ufunguzi wa Daraja la Mwalimu Nyerere, linalounganisha Dar es Salaam na Kigamboni,
Chadema wangemfukuza kwa utaratibu upi?Kufukuzwa kwa utaratibu upi
Mlivyomsimamisha mbele ya umati wa watu mlifuata ibara gani ya kazi?Chadema wangemfukuza kwa utaratibu upi?
Ungekua unashirikisha ubongo usingeandika hivi kamulize mwalimu wako ndio urudi hapaWaandishi na Wahariri wa Magazeti wa siku hizi ni shida tupu.
Hivi Kigamboni ipo nje ya Dar es Salaam?
hahaha! usi panic. sheria ya ajira inasema unasimamisha kazi then uchunguzi unaendelea. ikithibitika umefanya kosa, unachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. utumbuaji majipu haufanywi bila kufuata sheria. tatizo lako ukisikia jipu limetumbuliwa unajua kabisa ndio kashafukuzwa kazi moja kwa moja sio.Wacha kua kioja baada yakushindwa kujibu hoja rudi nyuma nimeshawajibu vilambalamba wenzako... jibu hoja sheria ya Ajira inasemaje kuhusu utumbuaji wacha kurukaruka kama maharage yaliyokosa moto uliokolea
kasome tena sheria ya kazi wewehahaha! usi panic. sheria ya ajira inasema unasimamisha kazi then uchunguzi unaendelea. ikithibitika umefanya kosa, unachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. utumbuaji majipu haufanywi bila kufuata sheria. tatizo lako ukisikia jipu limetumbuliwa unajua kabisa ndio kashafukuzwa kazi moja kwa moja sio.
Ungekua unashirikisha ubongo usingeandika hivi kamulize mwalimu wako ndio urudi hapa
Hata nikikuelewesha huwezi kunielewa umedhurika na MizukaAhsante mkuu, sasa wewe unayeshirikisha Ubongo wako nakuuliza Kigamboni ipo Mkoa gani! Dar es Salaam?au Pwani?au Morogoro?
Wewe ndo una akili sana, Makonda na Mh Rsis wamekurupuka au siyo?Udhibitisho kua alikua ameiba ni ipi?
Usinilishe maneno nimekwambia kinachoweza kumuonyesha mtu mwizi ni mahakamaWewe ndo una akili sana, Makonda na Mh Rsis wamekurupuka au siyo?
Mkuu umeongea sawia ngoja waje watoa povuKwa maelezo ya Makonda ni dhahiri kuwa Kabwe alistahili kutumbuliwa iwe adharani au gizani kama bunge la 11.
Lakini ninavyojua mimi ufisadi wote uliofanywa awamu ya 3 na ya 4 ulifanywa kwa baraka za CCM kwa ajili ya kupata pesa za kununua wapiga kura na wasanii. Na kununua masanduku feki ya kura.
Kabwe asineweza kuiba mabilioni hayo yote peke yake wakati palikua na mameya wa halmashauri na pia meya wa Jiji ambaye ni kama mwangalizi pia wa fedha za umma.
Mikataba hiyo ilikuwa ni safi kutokana naaelekezo toka ngazi za juu.
Nilipojua kuwa Kabwe alikua ni mpare nikajiuliza tangu lini mpare akawa jasiri wa kuiba pesa za umma.
Wapare ni waoga sana kwenye kufanya ufisadi tofauti na wahaya na wachaga.
Inawezekana kuna ufisadi uliofanyika lakini kwa kushinikizwa na ngazi za juu.
Pole mkuu, walimwengu ndivyo walivyo. Mungu ndie anaejua ukweli. Wabaya wakiamua kukutenda watatumia kila walichonacho kufanikisha yao.Asie kujua hakuthamini
R.I.P. Brother Kabwe.
Kazi uliyotumwa umeimaliza.
Wahanga tupo wengi, si wewe peke yako.
Kama anakosa mru yoyote kushugulikiwa ni sawa lakini ufwataji wa sheria ni muhimuInawezekana Wenje alimsingizia Kabwe kuhusu ufisadi jijini Mwanza.?
Kwa hoja hizi Upinzani unaelekea kuwa kama Comedy.
Mwinyi alipojiuzulu kwa ajili ya vifo vya wafungwa ndio ilimaanisha alihusika na vifo hivyo?alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha