nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,408
- 8,221
hahahaa mkuu uko serious?alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha
hahahaa mkuu uko serious?alijiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya ufisadi wa richmond...huo ni ushahidi tosha
Chadema wangemfukuza kwa utaratibu upi?Kufukuzwa kwa utaratibu upi
Labda tuweke wazi ni sheria ipi imevunjwa tujueKama anakosa mru yoyote kushugulikiwa ni sawa lakini ufwataji wa sheria ni muhimu
Mkuu ajielewi huyoMwinyi alipojiuzulu kwa ajili ya vifo vya wafungwa ndio ilimaanisha alihusika na vifo hivyo?
Poor idiot
Kwahiyo sheria za kazi nyie mlizifuata kwenye kumtumbua?Chadema wangemfukuza kwa utaratibu upi?
Teh...teh..tehLamba viatu,funga wakubwa watakupenda na kukupa cheo.
Hata Mimi nikipata nafasi nitakula. Nani anataka kuishi kimaskini wakati hamuibii mtu mfukoni? Nafasi haiji Mara mbili.Mbona Lowasa ni fisadi toka enzi za Nyerere lakini aliaminiwa na Mkapa na Kikwete akapewa mpaka uwaziri mkuu? Teuzi nyingi zinaangalia urafiki..sio maadili
Mkuu haya maneno yako umeanza lini kuyasema? Baada ya uchaguzi au kabla1.Barua alipewa ya kuachishwa ukurugenzi ?
2.Tume ya kuchunguza huo ufisadi imeshaundwa ?
Hayo mambo yapo kwenye maandishi lakini tumekuwa tukiaminisha kwa midomo tu .
Na wewe umetumbuliwa mkulu
Huyu mtoto laana aliziatafuta zamani.Nimemkumbuka jaji Warioba alivyopigwa pale ubungo plaza.
Huyu mtoto laana aliziatafuta zamani.Nimemkumbuka jaji Warioba alivyopigwa pale ubungo plaza.
Mi ccm ishalogwa hata haishtuki, miaka 50 bado twapanga foleni kununua sukari...bure kabisaMkuu ajielewi huyo
Matokeo ya awali ya tume iliyochunguza mikataba yote iliyosemwa mbele ya Rais aliekosea na ku sign ni Wilson Mukama......kama kushitakiwa angeshitakiwa huyo! Aliongeza mkataba kwa miaka 12 zaidi....huyu amefanya mchakato upya na kila kitu kiko sawa PPRA na tender imetangazwa! Ni aibu sana kwa majibu hayo mbele JPM na kibaraka wake Makondo!Mkuu si suala la kutumbuliwa, bali ni suala la maadili na weledi ukiondoa unafiki na kujiona wewe ndio mfanyakazi hodari mbele ya mkuu wako.
Isango na timu yake ya Uchochezi na ufarakamishi. Unapata taifa gani Wewe mjinga jamii ikifarakana?Ushaidi wa Ufisadi wake ni upi?
Mzito kweli haya maneno yanatoka mdomoni kwako au?Isango na timu yake ya Uchochezi na ufarakamishi. Unapata taifa gani Wewe mjinga jamii ikifarakana?
Kwa usemi wako inamaana alikua chadema?Majiji yote aliyoongoza yaliangukia chadema yakiwa mikononi mwake hii ni wazi hakuwa kiongozi mwenye kutetea maslahi ya wananchi wanyonge.