chorus/kiitikio

chorus/kiitikio

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,862
Reaction score
858,738
ili wimbo unoge unahitaji kiitikio, kuna viitikio vya aina nyingi vya kuchekesha kuhuzunisha, tata na vingine vinakwaza
kuna hiki hapa cha fm academia ...utamu wa vanila eeh utamu...! Kinaniacha hoi mno
LETE CHAKO
 
hakunaga saa yangu mi nawewe! hakunaga saa yangu me nawewee
 
tunapokuwa maskani,masela,kiitikio,hatuna kitu.
 
nibebeee eeh nami nikuonyeshe mpenzi cha kukuupaaa ili usiendeeee -Nyota ndogo
 
kiuno kata kiuno cheza aha aha! hakuna kulala hata kama hujala -wanaume Tmk
 
Back
Top Bottom