geofizor Member Jun 5, 2014 59 26 Jul 3, 2016 #21 Kweli wa kenya wengi wana idiss Tz.. nimekuwa nikifatilia post nyingi yani wao ni kuponda tz tuu... mbona wa bongo hawana izo mambo asee
Kweli wa kenya wengi wana idiss Tz.. nimekuwa nikifatilia post nyingi yani wao ni kuponda tz tuu... mbona wa bongo hawana izo mambo asee
Shemtibuko JF-Expert Member Dec 27, 2015 728 1,010 Jul 3, 2016 #23 Wakenya mmegundua nini zaidi ya mbinu za wizi kila siku?