Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Nakupa 4 ya nguvu mukubwa... Kiswahili yangu haiko muzuri kwa leo
hahaaaa umenifurahishaje,mie nakupa number 5
Nakupa 4 ya nguvu mukubwa... Kiswahili yangu haiko muzuri kwa leo
9 heaven on earth
Naona you've twisted your ID uunnh
1. I 1 u Mrembo by Nature na dada Mamndenyi na christine ibrahim na dada neggirl ...ngawakumisi mcho!
2. I 2 u Kaizer, unaniharibia plans zangu kwa tinna cute
3. I 3 u mshabiki wa siasa kwa mrengo wa chama badala ya utendaji kazi (infact yeyote anayemshabikia yeyote -kisiasa or otherwise- kwa sababu ya mrengo nam-number 3 sana!
4. I 4 u mwallu sema utawa unaninyima nafasi ya kuwa nawe! I swear ningekupata saccos zote navunja.
5. I 5 u Heaven on Earth, mimi49, Mtambuzi, Nicas Mtei, gfsonwin, Paloma, beibe nasty
6. I 6 u mimisa, nikiongea na wewe naishia kuku namba-1 zaidi.
7. I 7 u @jf members wote kwa kweli..leka kapsa!
8. I 8 u Smile (classmate), The Boss (no homo) watu8 (i can't believe hadi leo bro) Kaizer (so that I number-2 u myself) lara 1 (the lunch date!) babu Dark City
9. I 9 u MH! Mentor
10. I 10 u kiongozi yeyote (esp uliyeko JF) ambaye unajua unalotakiwa kufanya na hulifanyi (JESHI SLAP!)
11. I 11 u tinna cute darling hadi babu Asprin apate la kusema!
12. I 12 u bro mwekundu na Mashaxizo, Nataka kuoa bana!!!!
1. I 1 u Mrembo by Nature na dada Mamndenyi na christine ibrahim na dada neggirl ...ngawakumisi mcho!
2. I 2 u Kaizer, unaniharibia plans zangu kwa tinna cute
3. I 3 u mshabiki wa siasa kwa mrengo wa chama badala ya utendaji kazi (infact yeyote anayemshabikia yeyote -kisiasa or otherwise- kwa sababu ya mrengo nam-number 3 sana!
4. I 4 u mwallu sema utawa unaninyima nafasi ya kuwa nawe! I swear ningekupata saccos zote navunja.
5. I 5 u Heaven on Earth, mimi49, Mtambuzi, Nicas Mtei, gfsonwin, Paloma, beibe nasty
6. I 6 u mimisa, nikiongea na wewe naishia kuku namba-1 zaidi.
7. I 7 u @jf members wote kwa kweli..leka kapsa!
8. I 8 u Smile (classmate), The Boss (no homo) watu8 (i can't believe hadi leo bro) Kaizer (so that I number-2 u myself) lara 1 (the lunch date!) babu Dark City
9. I 9 u MH! Mentor
10. I 10 u kiongozi yeyote (esp uliyeko JF) ambaye unajua unalotakiwa kufanya na hulifanyi (JESHI SLAP!)
11. I 11 u tinna cute darling hadi babu Asprin apate la kusema!
12. I 12 u bro mwekundu na Mashaxizo, Nataka kuoa bana!!!!
7. I like Madame B BAK miss strong Dark City BAK watu8 Fixed Point Mr Rocky
8. I wanna meet all of them hasa Nyani Ngabu King'asti Mtambuzi
13.Namuogopa The Boss quote from Smile
Kaka mkubwa vijiwe vyetu vipo karibu lakini sijui kwa nini hilo halitokei...😕
Khaa!
Kumbe Mashaxizo na Mwekundu wanagundu ee?
Haki ya Mungu ma ticha nimecheka sana!
Nimeona sehem nyingi nikitajwa na Mwekundu!
Hahahahahaaaa!
...
Mimi kwako ile ya kunywa nanii pamoja! Nashangaa hakutuwekea!!!
ha ha ha nimependa hapo tu enye lunch date
ha ha ha nimependa hapo tu enye lunch date
Sio gundu..ni vile nyie kila siku mnafurahia kuwa single..mi nmechoka na kila siku mama ananiuliza wajukuu lini!
Apo unaongelea jani au mbege!??
dawa yake ni kuoa tu.............lol........ nafanya nae final negotiation tinna cute lakini naona kama kuna mtu anataka kuniharibia..........LMAO!! cc Mentor and Kaizer wapi Madame B mshenga wa ukweliMkuu tunagundu!
Ma ticha asiione hii!
number 7 (nakutamani) is for you Heaven on earth ,ukinipa sikatai.....LOL