The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Baada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.