Manfyantona
Member
- Dec 24, 2019
- 13
- 20
- Thread starter
- #21
Hahaha hahahahHivyo vyo niling'oa home, kwenye master nikaweka cha kuchutama japo wife alinuna. Havina raha yoyote ile. Yaani kujitawaza unatumia nususaa, gogo hali ishi unakuwa umejibana husipo kuwa makini una toka mikono ina nuka mavi mpaka unajishitukia. Natena ukienda kukata gogo unasaula kila kitu.