Choo bovu sana hili linatia kinyaa mno!
Ni bora kuchuchumaa porini kuliko kukalia hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
Sahv ndo naona watu wa vijijin wana akili kweli
Walikua wakija mjin wakikukuta hivyo vyoo hawakalii ila wanapanda na miguu alafu wanachuchumaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha yake kiwe kisafi
Cha watumiaji wachache
Pawe na maji
Pawe na tissue
Pawe na seat sanitizer
kwa umma bora cha kuchuchumaa kwa kweli
Ni rahisi kusafisha pia
ukikikuta hiki public ni mtihani..mara chache sana ni kisafi
huwa najisaidia km ng'ombe siwezi kukaa
ukileta machejo si unakunya pembeni sasa.Hii mada imenichekesha sana ila kiukweli hivi vyoo vya kukaa vinaboa sana tu,
Mm huwaga naweka tissues ndo nikae tena kukaa yenyewe ndo ile style ya kucheza rede upande upande, ukiachia unaruka usipokua na machejo maji yanakurukia hatar
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kwa asili yangu siwezi kunya nimekaa kama mgonjwa wa siku nyingi!
Mie huwa nikikuta choo cha hivyo napandaga juu nachuchumaa nakunya kwa raha!
Kwanza nilishawahi kuchambia shuka la lodge kwa sababu hakukuwa na toilet papers nikasema ngoja tuone nani mjanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bhana lile dubwasha likivunjika halafu likukate huwa linakata kweli si masikhara.Kuna mtu milimvunjikia kwa kupanda na kuchuchumaa, nyama yote ya kwenye paja ilichimbwa na kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂
Naunga mkono hojaMzee hiki choo home weka kwa ajil ya matumiz ya ww na wife tubpale master.Kule public kwa watoto na wagen weka cha kawaida.
Mkuu ma-ceramic yale siyo imara sana kuyabebesha uzito mkuwa kwa style ya kulipandia juu mazima. Kuna siku litakupasukia. Ila hizo changamoto ulizoelezea ni za kweli na zinatupata wengi.Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
HahahaaaKuna nyumba ya jirani mafuriko mafuriko yaliingia kwenye lile shimo la mavitaka nje, wenye nyumba wakashangaa nyumba nzima inanuka mavi, kuja kuangalia kumbe Shimo nje lilijaa likawa linarudisha mavi ndani. Watu waliikimbia nyumba asee.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwili umenisisimka kwakweli duuh.Kuna mtu milimvunjikia kwa kupanda na kuchuchumaa, nyama yote ya kwenye paja ilichimbwa na kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwe mkweli choo cha namna hii ni hatari mno kwa matumizi ya public. Nakumbuka nilienda wilaya ya kwimba kikazi,aisee kuna lodge moja pale sitaitaja niliambiwa nzuri mno,kweli ndani kuko flesh,kitanda safi,kasheshe ikaja usiku ule nataka kushusha mambo ebhanaee kuingia toilet choo cha kukaa afu kichafu balaa.Niliishiwa pozi,kiukweli nilichokifanya nilitoka nje kuuliza kama kuna toilet za nje nikaambiwa hakuna,nikarudi room nikapiga hesabu nilichoamua Nikupanda pale juu nikakanyaga nikafanya yangu.KWA HILI NIWAPONGEZE Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro pamoja na kuwa na toilets za kukaa lakini usafi wa pale huwa sijuti kwenda.Habari za msimu wa siku kuu.
Choo cha kisasa cha kukalia ni dizaini ya choo chenye sink ya kukalia na kwa asilimia kubwa kilichotengenezwa kwa ajili ya watu wenye ulemavu au wenye matatizo ya miguu na kiafya kwa ujumla ikiwemo na wazee tofauti na kile cha kawaida cha kuchuchumaa.
Kwa hali isiyo ya kawaida,choo hiki kimekuwa kimekiwa kikipendelewa sana kuwekwa majumbani tena majumba ya kifahari, na nyumba za kawaida, kwenye mahoteli, na sehemu nyingi za public na private nyeti kwa matumizi ya wote.
Sehemu nyingine huwa kunakuwa na vyoo viwili yaani milango miwili ya choo. Kimoja cha kuchuchumaa kwa maana kwa watu wasio na ulemavu , wazee, ama wenye matatizo ya kiafya na chumba kingine cha choo chenye hiyo choo/sink ya kukalia kwa ajili ya watu wa category tajwa hapo mwanzo.
Kwa hali isiyo ya kawaida, kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupendelea kutengeneza choo cha kulalia kuliko kile cha kuchuchumaa.
Hapa chini nimekuwekea Karaha zake kwa indinkibwa la watu hasa watanzania. Na kuichukulia kuwa si mazoea yetu na hatujazoea kujisaidia tukiwa tumekaa!
Kiukweli kuna taabu tena taabu sana kutumia choo cha dizaini hii. Yaani muundo huu wa Choo unatushinda wstu tulio wengi tena sana kutumia. Mara uingiapo chooni na kukuta huu muundo wa choo amani hukosekana.
Ni kweli kuna raha au starehe yake wakati wa kupush gogo kwa maana ya mkao mzuri wa starehe, ila taabu na Karaha huja wakati wa Kujichamba aka kujitawaza, Aiseee!! Nishidaaaa!!
Japo kuwa kuna huo mpira wa kujisafishia, watu hatujaweza kuutumia maana huishia kujilowanisha nguo hasa suruali au skirt kwa upande wa makalioni na mbele kwa mapaja.
Yaani ukijaribu Kujichamba kwa kuupitisha kwa nyuma au mbele taabu tubu. Lazima ujilowanishe nguo hata kama suruali ama nguo umeishusha na kupunguza presha ya maji ya mpira kadri niwezavyo.
Mara nyingi watu huepuka aibu ya mlowano wa nguo kwa kupendelea kutumia TISHU ambazo huwa pale , ILA SASA SI VYOO VYOTE UTAINGIA NA KUKUTA KUNA TISHU! Utakuta zimeisha au hakuna kabisa na mtu umebanwa!
Wadau, Mwenye utaalamu wa matumizi ya hii sampuli ya choo bila Karaha hizo tajwa hapo juu atujuze.
Merry Xmas and Happy New Year 2020
Nilienda Zambia, niliichukia kisa Choo.Ukitaka uone kero ya vyoo hivi tembelea Kenya au Zambia , ndo utachoka!
Hakuna maji ya uhakika, yet wamevifanya ndo standard kwenye public toilets, yaan ukiingia hata hamu yenyewe inakata
Sent using Jamii Forums mobile app