Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hawana tofauti kabisa
Hawana tofauti kabisa
Nasikia anapambana na Baba LevoHuyu chawa haaminiki
Alikuwa chawa wa Harmonize lakini Diamond alipoweka mpunga mrefu siku hizi ni lijichawa lake.
Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Naomba umteue mtangazaji wa Clouds FM katika cheo cha ukuu wa wilaya kwani kijana huyu ni mzalendo wa hali ya juu.
Kuchukua fomu ya kugombea cheo cha Spika hivi leo kumeonesha jinsi gani Mwijaku ana nia ya kuwatumikia Watanzania.
Mara zote kijana huyu amekuwa mstari wa mbele kuonesha uchawa wa hali ya juu kwako.
Ni mtangazaji wa Kwanza kutangaza kwamba yeye ni chawa wako, na yeyote anayekupinga atapambana naye. Mh.Rais huoni kwamba huyu kijana amejitolea maisha yake kwa ajili yako bila kujali hatari ya Sukuma Gang ya kumzulu?
Isitoshe huyu kijana ni msomi ana degree mbili kutoka vyuo viwili tofauti,UDSM na MZUMBE.
Naomba sana mtukufu Rais kwenye teuzi zako usimsahau,
natabili Mwijaku atagombania hata Ubunge kupitia CCM 2025, akipata mteua awe hata naibu waziri.
Ni hayo tu.
Watu wengine wameumbwa bila mshipa wa aibu
Alikotoka ndivyo walivyoHivi huyu jamaa tatizo lake ni shule au kunipendekeza kumepitiliza?
Anapambana sana huyu kijana, mara awe SHILAWADU, mara Simba, mara sijui nini!!Atatoboa kwa kudhalilishwa tu