sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
wewe si ndie yule fisadi wa kisiasa, in english you are "political prostitute" hivyo kweli una sauti ndani cdm, wewe si umewauza wenzako kwa kuwasingizia. Wacha kumtukana rais wetu, aliye kupa uhuru wakuweza kuaandamana na kuropoka ovyo, enzi ya mkapa wewe si ulikuwa unatawa.
Wenye sauti ndani ya chadema ni wanachama na sii vinginevyo.. Usimzibe mdomo.. Raisi hajatoa uhuru wa kuandamana ni katiba inayotoa huo uhuru, yeye (rais) anatakiwa kuilinda hiyo katiba kuhakikisha inafuatwa... Kama mkapa alikua akiisigina katiba mwambie wananchi wameamka.