Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
Kwanza tangu lini wapinzani wakawa kitu kimoja Tanzania. Huu si uongo wa mchana kweupe kabisa huu.
Kwanza tangu lini wapinzani wakawa kitu kimoja Tanzania. Huu si uongo wa mchana kweupe kabisa huu.
Wengi tu,mimi ni mmoja wao!wananchi gani wametaka maandamano??
Unajifanya unajua kiingereza Nenda kapambane na Kiranga akutoe jasho huko mkulima weweTumechoka maandamano-wananchi.
Unajifanya unajua kiingereza Nenda kapambane na Kiranga akutoe jasho huko mkulima wewe
Kwa nini wasiwe kitu kimoja kama wanapingana na kitu kimoja?
Kwahiyo Mbatia naye mpinzani?
Wandugu nawaomba viongozi na wanachama wote wa CHADEMA kuachana na suala la maandamano ya DSM nawashauri watii mamlaka zilizopo hata biblia inatuagiza.
Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI
kaka ben huwezi fananisha ujerumani na tanzania kumbuka kule kulikuwa na utawala dhalimu,,,, mandela alipambana na wakoloni sasa sisi tuko huru tunajitawala wenyewe unajua kuruhusu maandamano hovyo inaweza kutokea ya misri nchi yetu ni changa sana kubeba madhila hayo ni bora tuone mbali bora ungefanyika mkutano bila maandamano
Wewe umejibu hoja gani? Peleka ma.......buri yako huko kwa magamba wenzioHivi wewe ulishawahi kujibu hoja tokea ujiunge hapa JF? Mbona kila siku unachangia pumba tu? Huoni aibu?
Kuna uhusiano gani wa hiki ulichokiandika hapa na hoja inayoongelewa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kwanza huoni Aibu kujipa Id ya sumu wewe mkulima nyambafuHivi wewe ulishawahi kujibu hoja tokea ujiunge hapa JF? Mbona kila siku unachangia pumba tu? Huoni aibu?
Kuna uhusiano gani wa hiki ulichokiandika hapa na hoja inayoongelewa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wewe umejibu hoja gani? Peleka ma.......buri yako huko kwa magamba wenzio
Huku umefuata nini? Kaa na mke wako huko MMUJitambue. Wenzako wanakucheka, kama siasa huiwezi njoo MMU tuwe tunashinda wote kule. Kuna watu muda wote wanatoa michango yao MMU lakini huku kwenye siasa sijawahi kuwaona hata siku moja kwasababu wameshajitambua.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
tunapambana na mkoloni mweusi.hatutaki kutawaliwa,tunataka kuongozwa.....!
ungetumia nguvu hizi unazotumia hapa kumtaka au kumshinikiza spika kutenda haki na utawala dhalimu wa ccm kusikiliza matakwa ya umma ili yasitokee hayo ya misri kama ndiyo yanyaokutisha
Huku umefuata nini? Kaa na mke wako huko MMU
Nisubiri naoga na mama toto wako HukuNimekuja kuwachukua watu waliopotea njia kama wewe. Twende zetu MMU, siasa zinahitaji watu wanaojua kujibu hoja.
Tunaenda sasa hivi au unaoga kwanza?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums